Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Pengine unaweza kuogopa kuoa ama kuolewa ukahisi kila ndoa ni tatizo
wala leo nakuja kukutia moyo ati sio kila ndoa ni tatizo swala ni jinsi gani ya kujilinda
kuavoid yanayotokea
kuna mengi yanatokea kwenye maisha bila kujua chanzo ni nini???
Kama unatarajia kuwa na mwenzio jitahdi sana kumshirikisha mungu sana sana ,usitarajie nduguzo watakusaidia kwenye shida zako ........,hasa za ndoa...
Yanayotokea kwenye ndoa za wengi ni mambo ya kuwa na ufahamu....pengine unaweza hisi mwnzio ndio ana matatizo kumbe sio yeye bali ni wale aliotembea nao...
Labda niwakumbushe unapokuwa na mwanamke ama mwanaume mkavuliana nguo kitandani ...mnapoingiliana kimwili ukisoma baibo mnakuwa mnabadilishana ma spirit..sasa basi najua yawezekana we ulimpenda kutoka moyoni kumbe mwenzio bila ngono kwake awezi kulala kwa siku hiyo ukawa na bahati ya kumpa ulale unono..kuna roho nyingi sana
1.uzinzi
2.roho za kuachika
3.roho za kutamaniana
4.roho za kutoka mimba
5.roho za kufanywa ndondocha na mwenzio
6.roho nyingi nyingi chafu
hizi zote unaweza kuwa nazo ukiwa umelala na mtu na kufanya nae mapenzi...so unapoondoka unajua umemwacha kumbe maroho yameingia..kivipi..pengine mwanamke kwao wao ni uzinzi ngono kwa kwenda mbele unazaa kiumbe kazuri nacho unaishia kuweka ukuta mkubwa ukihisi soln..kumbe akienda shule anamaliza shuguli huko huko..wewe ujui kwa nini kumbe ulishawahi kulala na hadija ama mwanahamisi ambae alikuwa na pepo la kuzini
pengine unaweza kuwa umefanya mapenzi ya ujanani na shida ama shika popote yeye kwao kuanzia bibi yake ameachika mama yake ameachika kaka yake wa kwanza nae kaachika mtot wa mjomba kaachika na wewe umemvulia nguo unashangaa unaoa mtoto tena wa kilokole akikaa na wewe mwezi anaruka ukuta yamemshinda ...so muwe makini
tujitahidi kusali na kuyakemea maroho yooote nilitamani ungekuwa unakumbuka mpaka na rangi za nguo za ndani za mwenzio uliwahi kutembea nae unaziandika kabisa kwenye karatasi unazichoma moto na kumwbia Mungu kama ninavyochoma hizi karatasi basi na roho zote chafu nilizowahi kuzipitia zikaungue moto ...hii ni kwa msaada wa watoto wetu jamani haya mambo yanarithi
Mungu awabariki ijumaa njema
wala leo nakuja kukutia moyo ati sio kila ndoa ni tatizo swala ni jinsi gani ya kujilinda
kuavoid yanayotokea
kuna mengi yanatokea kwenye maisha bila kujua chanzo ni nini???
Kama unatarajia kuwa na mwenzio jitahdi sana kumshirikisha mungu sana sana ,usitarajie nduguzo watakusaidia kwenye shida zako ........,hasa za ndoa...
Yanayotokea kwenye ndoa za wengi ni mambo ya kuwa na ufahamu....pengine unaweza hisi mwnzio ndio ana matatizo kumbe sio yeye bali ni wale aliotembea nao...
Labda niwakumbushe unapokuwa na mwanamke ama mwanaume mkavuliana nguo kitandani ...mnapoingiliana kimwili ukisoma baibo mnakuwa mnabadilishana ma spirit..sasa basi najua yawezekana we ulimpenda kutoka moyoni kumbe mwenzio bila ngono kwake awezi kulala kwa siku hiyo ukawa na bahati ya kumpa ulale unono..kuna roho nyingi sana
1.uzinzi
2.roho za kuachika
3.roho za kutamaniana
4.roho za kutoka mimba
5.roho za kufanywa ndondocha na mwenzio
6.roho nyingi nyingi chafu
hizi zote unaweza kuwa nazo ukiwa umelala na mtu na kufanya nae mapenzi...so unapoondoka unajua umemwacha kumbe maroho yameingia..kivipi..pengine mwanamke kwao wao ni uzinzi ngono kwa kwenda mbele unazaa kiumbe kazuri nacho unaishia kuweka ukuta mkubwa ukihisi soln..kumbe akienda shule anamaliza shuguli huko huko..wewe ujui kwa nini kumbe ulishawahi kulala na hadija ama mwanahamisi ambae alikuwa na pepo la kuzini
pengine unaweza kuwa umefanya mapenzi ya ujanani na shida ama shika popote yeye kwao kuanzia bibi yake ameachika mama yake ameachika kaka yake wa kwanza nae kaachika mtot wa mjomba kaachika na wewe umemvulia nguo unashangaa unaoa mtoto tena wa kilokole akikaa na wewe mwezi anaruka ukuta yamemshinda ...so muwe makini
tujitahidi kusali na kuyakemea maroho yooote nilitamani ungekuwa unakumbuka mpaka na rangi za nguo za ndani za mwenzio uliwahi kutembea nae unaziandika kabisa kwenye karatasi unazichoma moto na kumwbia Mungu kama ninavyochoma hizi karatasi basi na roho zote chafu nilizowahi kuzipitia zikaungue moto ...hii ni kwa msaada wa watoto wetu jamani haya mambo yanarithi
Mungu awabariki ijumaa njema