Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Swala sio kupata mtoto swala ni ile damu uliomwaga ama ulishiriki ama ulijaribu kutoa msada
ukisoma somo la damu ya yesu utaona kumbe damu inaongea ...na sishangai hata haya matatizo ya madk wengine ni kutokana na kushiriki kutoa mimba za watu bila kujua madhara ya baadae
ukiwa kama mtarajiwa naomba nikupe ushauri kama ulishiiriki kutoa mimba jitahidi sana sana uombe mungu akusamehe dhambi hiyo ukiingia nayo kwenye ndoa tatizo sio tu kupata mtoto ni ile damu uliomwaga itakunyanyasa kwenye ndoa yako aijalishi uliemwoa ndio alietoa mimba ama ni mwingine
hakuna kitu kibaya kama kumwaga damu ...nimesoma na kupata umuhimu wa kujua kazi ya damu kwa kweli hili ni ushauri tu muwe makini san sana kwa yoyote alieshiriki kutoa mimba ama utapata matatizo kwenye kupata mttoto ama hata ukipata mtoto ndoa yako lazima izungumze na ile damu na moto wake utaujua ..so ni viuri hata kabla ya kuunganisha uhusiano kwenye ndoa mjulishane kwamba mlitoa mimba ama mwenzio alishiriki kuchangia pesa za kutoa mimba gfriend wake wa zamani msali mjitoe na hayo matatizo
mungu awatangulie kwa hili
ukisoma somo la damu ya yesu utaona kumbe damu inaongea ...na sishangai hata haya matatizo ya madk wengine ni kutokana na kushiriki kutoa mimba za watu bila kujua madhara ya baadae
ukiwa kama mtarajiwa naomba nikupe ushauri kama ulishiiriki kutoa mimba jitahidi sana sana uombe mungu akusamehe dhambi hiyo ukiingia nayo kwenye ndoa tatizo sio tu kupata mtoto ni ile damu uliomwaga itakunyanyasa kwenye ndoa yako aijalishi uliemwoa ndio alietoa mimba ama ni mwingine
hakuna kitu kibaya kama kumwaga damu ...nimesoma na kupata umuhimu wa kujua kazi ya damu kwa kweli hili ni ushauri tu muwe makini san sana kwa yoyote alieshiriki kutoa mimba ama utapata matatizo kwenye kupata mttoto ama hata ukipata mtoto ndoa yako lazima izungumze na ile damu na moto wake utaujua ..so ni viuri hata kabla ya kuunganisha uhusiano kwenye ndoa mjulishane kwamba mlitoa mimba ama mwenzio alishiriki kuchangia pesa za kutoa mimba gfriend wake wa zamani msali mjitoe na hayo matatizo
mungu awatangulie kwa hili