zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #41
ndoa ni kiapo cha urafiki unakaa wapi wewe.....
Nilidhani niko peke yangu,......Karibu JF, dah nimetoka kapa kabisa
<br />mkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.