Ndugu wanajamii wa jamiiforum mimi ni mwanachama mpya.
Leo naleta mbele yenu hii mada tajwa hapo juu.
Mara nyingi nimekuwa nikiwasikia watu wengi wakisema kuwa ili kuepukana na kuwa na uhusiano na wanawake au wanaume wengi basi hatuna budi kuingia katika ndoa. Lakini cha kushangaza ni kwamba sasa hivi ndoa imeshindwa kutatua tatizo la wanaume na wanawake walioko kwenye ndoa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wengine walioko nje ya ndoa. Je, ni kwa nini? Mbona ndoa haijasaidia wanaume na wanawake kuanzisha nyumba ndogo?
Leo naleta mbele yenu hii mada tajwa hapo juu.
Mara nyingi nimekuwa nikiwasikia watu wengi wakisema kuwa ili kuepukana na kuwa na uhusiano na wanawake au wanaume wengi basi hatuna budi kuingia katika ndoa. Lakini cha kushangaza ni kwamba sasa hivi ndoa imeshindwa kutatua tatizo la wanaume na wanawake walioko kwenye ndoa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wengine walioko nje ya ndoa. Je, ni kwa nini? Mbona ndoa haijasaidia wanaume na wanawake kuanzisha nyumba ndogo?