FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,816
- 109,096
Waislamu cha msingi kwao ni Mahakama ya Kadhi tu hakuna kingine? Hivi huyo Kadhi atatuondolea umaskini tulio nao au atatusaidiaje?
Hivi ikiwa unashindwa kujiondoa wewe mwenyewe kwenye umaskini unategemea nani akuondoe? Kanisa limeshakutoa kwenye umaskini?
Umaskini hauko kwenye mali au kipato chako umaskini upo ndani ya damu yako. Hata uletewe Papa hatokuondolea umaskini uliokuwa nao.
Uwepo wa kadhi ni kuhakikisha kuwa Muislaam ana haki kama yule asie na dini. Au mwenye haki nchi hii ni yule ambae hana dini?
Kodi za Waislaam na wasio Waislaam zinalipia Mahakama za wasio na dini. Jee hiyo ni haki? Ambae ana dini yake hana haki? Mnanshangaza.