Ndoa na kaka wa kambo ni sahihi?

Duu nadhani hapa hawa watakuwa wote hawajakamilika kiakiri na kimawazo pia!
 
Jamani kabla ya kuwashutumu sana hawa, wanahitaji ushauri na msaada unaofanana na tiba.

Haya mambo yanatokea hata kwa wakubwa tu. Mie yalishanipata nilipokuwa mdogo wa miaka 10 kulikuwa na mama yangu mdogo (dada mdogo wa mamangu) alikuwa mkubwa tu, alikuwa anasoma form 5 kipindi hicho alikuwa ananipa hiyo tundi. Yeye ndio alinianza kama mchezo tu wazazi walipokuwa wametoka siku moja ya weekend mchana, na siku zote alinionesha kuwa hiyo kitendo ni nzuri kabisa kwa mimi na yeye, ila nisimwambie mtu kwani ni aibu. Akaniambia hata babangu anaifanyaga na dadake (mamangu) lakini hawasemi kwa kuwa ni jambo la siri lakini ni tamu. Na mimi kwa wakati huo niliona ni sawa kabisa kunaniliu na mama mdogo.

Hawa hatujajua waliyaanza lini haya mambo, na pia walijifunzaje, si ajabu ni humo ndani ya familia pia na hawajapata nafasi ya kujua tofauti na hayo.
 
Ni sawa mbona wahindi , waarabu wanaoana ndugu? Hivi watoto wa adam na hawa walioa wakina nani kama siyo dada zao??
 
Quran inakataza damu moja kuoana. Ingeswih iwapo wangekuwa ni wa baba mkubwa na mdogo.
 
Nimeikuta hii somewhere, binti anaomba ushauri, binafsi nimeona kama ni uchuro flani flani hvi,


"Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"


Vp wanaJF mnalionaje??

Labda Waisilamu wangefafanua hili jambo, Ninayosikia kwa waisilamu mtoto wa mjomba/binamu ni ruksa kuoa hili la Kaka wa Kambo nadhani limekaa vibaya. Hebu Muislamu mmoja atueleze nini Msimamo wa dini yao katika hili.

Maana mnaweza kumshambulia huyu jamaa kumbe huenda inaruhusiwa katika dini yake.
 
Jamani kabla ya kuwashutumu sana hawa, wanahitaji ushauri na msaada unaofanana na tiba.

Haya mambo yanatokea hata kwa wakubwa tu. Mie yalishanipata nilipokuwa mdogo wa miaka 10 kulikuwa na mama yangu mdogo (dada mdogo wa mamangu) alikuwa mkubwa tu, alikuwa anasoma form 5 kipindi hicho alikuwa ananipa hiyo tundi. Yeye ndio alinianza kama mchezo tu wazazi walipokuwa wametoka siku moja ya weekend mchana, na siku zote alinionesha kuwa hiyo kitendo ni nzuri kabisa kwa mimi na yeye, ila nisimwambie mtu kwani ni aibu. Akaniambia hata babangu anaifanyaga na dadake (mamangu) lakini hawasemi kwa kuwa ni jambo la siri lakini ni tamu. Na mimi kwa wakati huo niliona ni sawa kabisa kunaniliu na mama mdogo.

Hawa hatujajua waliyaanza lini haya mambo, na pia walijifunzaje, si ajabu ni humo ndani ya familia pia na hawajapata nafasi ya kujua tofauti na hayo.

Duuh...Eebana eeh! nakubonyezea kitufe cha thanks kwa kuyaandika haya!
 
Nimeikuta hii somewhere, binti anaomba ushauri, binafsi nimeona kama ni uchuro flani flani hvi,


"Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"


Vp wanaJF mnalionaje??


Hakuna dini wala mila katika dunia hii inayoruhusu ndugu wa baba au mama mmoja kuoana. Kwanza hawa wasijiite waislamu kabisaa, wameshakufuru hawa. Watafute sheikh awasilimishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom