Ndoa mseto

kingfish

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
571
159
Tafakari
 

Attachments

  • RESULTS.jpeg
    RESULTS.jpeg
    77.1 KB · Views: 214
picha umeunganisha vibaya sababu miguu ya mtoto mikubwa kuliko mtoto. ulitakiwa utafute miguu ya mtoto wa pundamilia sio ya pundamilia aliyekua. angalia kwato zimeshakomaa kabisa.
 
picha umeunganisha vibaya sababu miguu ya mtoto mikubwa kuliko mtoto. ulitakiwa utafute miguu ya mtoto wa pundamilia sio ya pundamilia aliyekua. angalia kwato zimeshakomaa kabisa.
dubu unamaanisha ni photoshopu?
 
dubu unamaanisha ni photoshopu?

Anamaanisha hivyo lakini si kama anavyodhani kwa maana hawa wanyama wapo katika jamii inayokaribiana hivyo wakijamiiana wanaweza kuzaa,mfano punda na farasi au punda na pundamilia,ila kitakachozaliwa hakiwezi kuzaliana na ndio maana hakuna uwezekano wa kisayansi wa kukitangaza kiumbe hicho kama specie mpya..
 
Back
Top Bottom