Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Ilikuwa baada ya uchaguzi wa mwaka jana,pale ambapo Chama cha wananchi{CUF} kilipo amua kuingia kichwakichwa
kwenye ndoa ya mkeka na CCM.Bila kutambua mtego uliokuwa mbele yao,MAALIM na wenzake walifurahia kuingia ikulu ya ZNZ,
huku katika bunge la muungano mh.HAMAD na wenzake walikazana kujipendekeza kwa mume wao kwa kushambulia vyama vingine vya upinzani hususani CHADEMA!
Sasa wake hawa wenza wamebaki kuparuana wenyewe!
Yuko wapi mwenye nyumba{CCM} awasuluhishe?
NCCR nao nahc karibu wataelekea hukohuko,kwan KAFULILA na MBATIA ni vibaraka wa ZITTO&CCM.
Hili liwe onyo kwa vyama vingine kufanya ushirika na magamba{CCM}
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
:shetani:
kwenye ndoa ya mkeka na CCM.Bila kutambua mtego uliokuwa mbele yao,MAALIM na wenzake walifurahia kuingia ikulu ya ZNZ,
huku katika bunge la muungano mh.HAMAD na wenzake walikazana kujipendekeza kwa mume wao kwa kushambulia vyama vingine vya upinzani hususani CHADEMA!
Sasa wake hawa wenza wamebaki kuparuana wenyewe!
Yuko wapi mwenye nyumba{CCM} awasuluhishe?
NCCR nao nahc karibu wataelekea hukohuko,kwan KAFULILA na MBATIA ni vibaraka wa ZITTO&CCM.
Hili liwe onyo kwa vyama vingine kufanya ushirika na magamba{CCM}
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
:shetani: