ndoa kamaa hii nan ataikubali?

Hawajui msichana yeyote atakaejitokeza atakuwa ni mali kafuata na akishajichotea vya kutosha aambae zake!
 
haya mambo yanawezekana yapo. kama wamefanya hivyo washughulike wenyewe si ndio raha ya utajiri wanataka kumtupia nani mzigo. kuna mzee mmoja wanawema kafanya hivyo kwa binti yake lakini mzee muda wote yupo na binti yake huyo taahira anamjali kuliko watoto wengine
 
wabongo kwa kujua mambo ya wenzao ni namba moja
Una uhakika gani kuwa walimtengeneza ili wafanikiwe?
Mtu akitajirika na mwanae mmoja mlemavu wa akili basi inakuwa nongwa.
Nani anaweza thibisha kuwa wamemtoa ndondocha,ulemavu wa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
Unaweza zaliwa nao au ukakupata ukubwani.
lets change this mentality.
OTIS
 
wabongo kwa kujua mambo ya wenzao ni namba moja
Una uhakika gani kuwa walimtengeneza ili wafanikiwe?
Mtu akitajirika na mwanae mmoja mlemavu wa akili basi inakuwa nongwa.
Nani anaweza thibisha kuwa wamemtoa ndondocha,ulemavu wa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
Unaweza zaliwa nao au ukakupata ukubwani.
lets change this mentality.
OTIS

otis sitaki kubisha tu ila kama humin basi nikutume uende mahali ukajionee kisha urudi uje utuambie ni hali ya kawaida tu au vipi. if at all you want to proove it ni pm. haya mambo yapo mkuu tena wengine hadi wanauwa kabisa tatizo ni kwamba tunabisha kwa sababu ya usomi wetu.
 
si wanasema kuna wachungaji wanaweza kuwaombea na wakapona?
kwa jinsi maisha yalivyo
nina uhakika vibinti vitajitokeza tu vipate mteremko lol
 
si wanasema kuna wachungaji wanaweza kuwaombea na wakapona?
kwa jinsi maisha yalivyo
nina uhakika vibinti vitajitokeza tu vipate mteremko lol

Sijaona born taahira, akaombewa akapona. Kama wale aliochanganyika nakubaliana nawe with rehab may be, ama vyingine ni udanganyifu tu!
 
Hapa ngoja nipite tu kwa jinsi nilivyo na hasira naweza jaza watu hapa!
 
wana jamvi wenzangu, kuna jirani yangu hapa anamtafutia mwanae wa kiume mchumba. Kijana mwenyewe ni taahira but kwa tetesi hali hii aliipata ukubwani tena baada ya wazazi wake kutaka utajiri hivyo wakamtoa mtoto awe ndondocha. In real ni matajir sana ila situation iliyopo ni kwamba hakuna mfanyakazi anayetaka kumuhudumia tena huyu kaka ambaye ana miaka 26 sasa. hivyo solution ni kwa yeye kuozeshwa mke tu.

wazazi wamemjengea nyumba kubwa sana na nzuri na pia this week wamemnunulia gari toyota Alexus rangi nyeusi. mama kwa kuwa anazo katangaza dau hapa mtaani kwa binti yeyote atakaye kubali kuolewa naye. swali najiuliza hivi kweli hawa wazazi waliwaza vizuri wakati wanyafanya haya? je sisi wengine tunajifunza nini hapa? utajiri huu wa madudu bora niwe maskini tu.
Mimi nina mtazamo tofauti:
Kwanza, kupata ugonjwa wa akili hakuchagui umri. mtu anaweza kupata tatizo hilo wakati wowote. linaweza kuwa kwa sababu nyingi kama brain trauma, meningitis na nyingine nyingi.

Tatizo ninaloliona hapa ni kua 1. watanzania akili zetu zina imani za kishirikina zilizopitiliza. magonjwa yote ya akili watanzania tunafananisha au kuhusianisha na kilogwa. jamani, tubadilike ili tuweze kujisaidia na kusaidia ndugu zetu kupata tiba.

si kweli kwamba ugonjwa wowote wa akili ni lazima uwe wa kurithi, au uupate ukiwa mdogo. ugonjwa wa akili huja kwa mtu yeyote, wakati wowote na mahali popote.

kosa la wazazi hao labda kumtafutia mchumba, lakini kwa upande mwingine, i think wanampenda mtoto wao na wanatamani kumsaidi.... any comment regarding comment yangu plz PM (Private msg)
 
Back
Top Bottom