sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Natumai wote mu wazima wanaJF.
Jamani kuna kitu chaniogopesha bado niko njia panda nahitaji kujua kwa kina.
Nakaribia kuingia kwenye ndoa,ninampenda huyu husband to be ila kila nisomapo,nionapo ndoa za ndugu jamaa na marafiki kwa kweli naogopa mnoo,nimechengachenga mara mbili ila safari hii sina ujanja.
Nachotaka kujua ni je maisha ya ndoa yakoje,mazuri,mabaya,kama uchumba au tofauti ni ipi na maisha ya boyfriend girlfriend?I wish kungekuwa na ndoa za mikataba hapa kwetu yani tumbo linauma kwa uoga. Je hii ni kawaida au nina tatizo la kisaikolojia?
Nahitaji michango yenu yenye busara.
Sweetdada.
Jamani kuna kitu chaniogopesha bado niko njia panda nahitaji kujua kwa kina.
Nakaribia kuingia kwenye ndoa,ninampenda huyu husband to be ila kila nisomapo,nionapo ndoa za ndugu jamaa na marafiki kwa kweli naogopa mnoo,nimechengachenga mara mbili ila safari hii sina ujanja.
Nachotaka kujua ni je maisha ya ndoa yakoje,mazuri,mabaya,kama uchumba au tofauti ni ipi na maisha ya boyfriend girlfriend?I wish kungekuwa na ndoa za mikataba hapa kwetu yani tumbo linauma kwa uoga. Je hii ni kawaida au nina tatizo la kisaikolojia?
Nahitaji michango yenu yenye busara.
Sweetdada.