SaraM
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 162
- 109
Ni kweli kabisa, kuna raha sanamimi huamini wadada wanao olewa na wanaume wenye kutoka familia tajiri
hujuta.......
mwanaume atafute pesa yake mwenyewe,ajue shida na umasikini ukoje
ndo anakuwa kakomaa.
hao born with silver spoon in their mouth,hawawezi majukumu mengi,hata ya kitandani pia ni wachovu lol
kwa sababu hawajui kuwa rejected au kutokubalika inakuwaje
uki experience hivyo vitu,lazima ujifunze to up your game....na also how to humble sometimes
kuwa na mahusiano na mtu aliyepitia ugumu wa maisha
pia huwa wanajua kuthamini mtu