mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
NAtamani niwe wewe ili nikusaidie maana najua wanawake wengi wanaogopaga sana kufanya maamuzi ya kusimama wenyewe......... ila nakuambia tafuta ustaarabu wako na hutojuta kamwe!!!!!!!!!!!!!! mwache ajirushe fainali uzeeni