Ndoa Hii Inaweza Kuvunjwa??

Ninachojua mimi ni kwamba, kanisa haliwezi kuvunja ndoa. Pale inapoonekana kuna mapungufu yoyote kama uzizi, kichaa, uchawi au kutokuelewana kabisa ndani ya nyumba, basi kanisa linaweza kuridhia mtenganishwe na sio kuvunja ndoa maana kanisa linaamini kwamba ndoa inaunganishwa na Mungu. Na alichokiunganisha Mungu, binadamu hawezi kutenganisha!
Chakufanya hapo, kwa mtizamo wangu ni kwamba, huyo dada adai talaka huku akijua kabisa kwamba hataweza kufunga ndoa yoyote ya kikristu. Labda serikalini au dini nyingine. Kwa kweli imekula kwake.
Kuhusu huyu jamaa, aende akawaone madaktari kwanza wamwambie tatizo lake hasa ni nini na kama lina tiba atumie. Wengi walikuwa na tatizo hili, wakapata matibabu wakapona. Kwahiyo akapimwe kwanza. Kama halina tiba, sina la kusema zaidi ya kumpa pole.
 
Hiyo ndoa ya Kikatoliki haiwezi kuvunjika hadi kifo! Kuvumiliana katika ndoa kama hii ndio maana halisi ya kupendana katika shida na raha, katika afya na magonjwa, katika nguvu na udhaifu n.k. Kama huyo dada anataka atengane na meza ya Bwana basi avunje hiyo ndoa!
 
Hiyo ndoa ya Kikatoliki haiwezi kuvunjika hadi kifo! Kuvumiliana katika ndoa kama hii ndio maana halisi ya kupendana katika shida na raha, katika afya na magonjwa, katika nguvu na udhaifu n.k. Kama huyo dada anataka atengane na meza ya Bwana basi avunje hiyo ndoa!
Lakini mbona wengine wanasema inawezekana kuvunjwa(rejea posts zilizotangulia).
 
Kwanin usikubaliane naye wewe uchakachuliwe nje coz ndoa haivunjwi bali kifo ndo kitakachowatenganisha pole
 
Ninachojua mimi ni kwamba, kanisa haliwezi kuvunja ndoa. Pale inapoonekana kuna mapungufu yoyote kama uzizi, kichaa, uchawi au kutokuelewana kabisa ndani ya nyumba, basi kanisa linaweza kuridhia mtenganishwe na sio kuvunja ndoa maana kanisa linaamini kwamba ndoa inaunganishwa na Mungu. Na alichokiunganisha Mungu, binadamu hawezi kutenganisha!
Chakufanya hapo, kwa mtizamo wangu ni kwamba, huyo dada adai talaka huku akijua kabisa kwamba hataweza kufunga ndoa yoyote ya kikristu. Labda serikalini au dini nyingine. Kwa kweli imekula kwake.
Kuhusu huyu jamaa, aende akawaone madaktari kwanza wamwambie tatizo lake hasa ni nini na kama lina tiba atumie. Wengi walikuwa na tatizo hili, wakapata matibabu wakapona. Kwahiyo akapimwe kwanza. Kama halina tiba, sina la kusema zaidi ya kumpa pole.

Hiyo ndoa ya Kikatoliki haiwezi kuvunjika hadi kifo! Kuvumiliana katika ndoa kama hii ndio maana halisi ya kupendana katika shida na raha, katika afya na magonjwa, katika nguvu na udhaifu n.k. Kama huyo dada anataka atengane na meza ya Bwana basi avunje hiyo ndoa!

Wakuu mmefunga ndoa za kikatoliki?
Ndoa (ya kikatoliki) inakamilishwa na tendo la ndoa (hapa ndo 'validity' ya alichokiunganisha Mungu inapoanzia)...sio pale kanisani....
Bila tendo la ndoa (walau mara moja), hakuna ndoa...... (hii ni ya kwa mujibu wa kanisa katoliki)!
Rejea posti moja hapo juu, kuna mtu kasema kuhusu voidable marriages....

Mko sahihi kwamba ndoa haivunjwi (isipokua kwa zinaa), lakini kwa huyu dada hakujawahi kuwa ndoa.....kwa hiyo hamna cha kuvunja!
Ni kiasi cha kuindoa kwenye kumbukumbu tu!
 
ndoa bila tendo la ndoa sio ndoa......hata kwa sheria ya kanisa katoliki ..........anatakiwa kwenda kuwaona viongozi wake wa dini ndoa inawezekana kutenguliwa
 
ndoa bila tendo la ndoa sio ndoa......hata kwa sheria ya kanisa katoliki ..........anatakiwa kwenda kuwaona viongozi wake wa dini ndoa inawezekana kutenguliwa

Inawezekana pindi huyo mwanaume ataridhia kutenganishwa na huyo mwanamke.
Vinginevyo ni mke wake halali kabisaaa.
Lakini si wanakumbatiana usiku kwani lazima jamaa amege?
 
Itifaki imezingatiwa!!!!!!!!!!!!!!
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa sura ya 29 ya mwaka 1971 kama ilivofanyiwa marekebisho mwaka 2002 kifungu cha 9(1) kimeeleza kuwa "marriage means the voluntary union of a man and woman, intended to last for their joint lives" kwa mujibu wa ibara hii wanandoa wanatarajiwa kuishi kama wanandoa kwa maisha yao yote. Aidha ifahamike pia kuwa ndoa ndio chanzo cha familia na serikali inalinda familia kama taasisi ya taifa kwa namna ya pekee kwa sababu kuwepo kwa taifa kunategemea kuwepo kwa familia.
Kwa hiyo, sheria hii ya ndoa imeeleza sababu ambazo zinaweza kupelekea ndoa kuvunjwa kifungu cha 99 kinasema "such marriage must be broken down irreperable" kwamba ndoa hiyo haiwezekani tena kuinusurika kama tafsiri iko sawa; kwa hiyo kwa sheria ya Tanzania kama huyu mdau ataenda mahakamani ninauhakika hii ndoa hiwezi kuvunjwa kwa sababu kwanza, bwana yake hakufanya willful refusal to consumet ila ameshindwa kutokana na ugonjwa ambao jitihada za kuutibu bado hazijafanyika na ikaonekana imeshindikana. Pili, hili tatizo its tear and wear of marriage inampasa mwanamke avumilie wakati wakihangaikia tiba kwa hilo tatizo na Tatu, talaka kwa mjibu wa sheria ya Tanzania inatolewa na MAHAKAMA kama last option na kamwe mahakama tukufu haiwezi kutoa talaka wakati kuna alternative nyingine!
Mwisho, jamii ielewe kuwa kama ilivo kwasheria hii, kanisa katoliki (RC) haliwezi kuvunja ndoa kwa sababu yeyote ile kwa sababu ndoa inatenganishwa na kifo tu! kama kuna m2 anadhani inawezeka ajaribu then atatueleza hapahapa kwenye jamvi hili. Mie nashauri aanze kuhangaikia tiba kuliko kufikiria kuvunja ndoa ki2 ambacho hataweza kwa mujibu wa sheria!!!!!
 
heshima wakuu.....
Kuna kisa nimesimuliwa kutoka kijijini kwetu kilichompata binamu yangu wa kike mtoto wa shangazi.
Kafunga ndoa ya kikristo(katika madhehebu ya katoliki) miezi mitano iliyopita. Kwa kuwa hakuwahi kumegwa na huyo jamaa yake kabla ya ndoa hakujua nini kingetokea baadae. Baada ya muda ndipo aligundua kuwa jamaa hana uwezo wa kufanya kazi kabisa(jongoo hapandi mtungi). Hivi sasa anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa afanye nini, ameshauriwa arudi nyumbani ili taratibu nyingine zifuatwe lakini yeye hataki anaogopa kumdhalilisha huyo mume wake. Anataka ndoa ivunjwe kwa taratibu na sheria za kanisa ndipo ataondoka.
Naomba kuuliza kwa wajuzi wa sheria za ndoa (kanisa na serikali), je ndoa hii inaweza kuvunjwa???
Mchango wenu tafadhali...

alichokiunganisha mungu mwanadamu awezi kukivunja ushaona wameandika mahanithi awatakiwi kuwa na wake??
Ule ni ugonjwa na wakisimama na mungu wanapona kabisa wakiwka imani zao pamoja kama ajamwega anashindwa nini kuvumilia maisha yake yaliobakia kama amevumilia tangu anazaliwa...kuivunja ama kushawishi kuivunja ni kujitafutia uhanithi mwenyewe kumbuka nao wana sehemu ya kuwa na wake ila iwapo utashiriki hili a kuvunja nakwambia hata kama una watoto kuzima ndani ya ndoa easy mwana wapo waliokuwa vidume vya mbegu leo ni superget sio walipenda ...
 
alichokiunganisha mungu mwanadamu awezi kukivunja ushaona wameandika mahanithi awatakiwi kuwa na wake??<br />
Ule ni ugonjwa na wakisimama na mungu wanapona kabisa wakiwka imani zao pamoja kama ajamwega anashindwa nini kuvumilia maisha yake yaliobakia kama amevumilia tangu anazaliwa...kuivunja ama kushawishi kuivunja ni kujitafutia uhanithi mwenyewe kumbuka nao wana sehemu ya kuwa na wake ila iwapo utashiriki hili a kuvunja nakwambia hata kama una watoto kuzima ndani ya ndoa easy mwana wapo waliokuwa vidume vya mbegu leo ni superget sio walipenda ...
Lakini huyu inaonekana tatizo lake ni la kuzaliwa nalo..
 
<b>Itifaki imezingatiwa!!!!!!!!!!!!!!<br />
</b>Kwa mujibu wa sheria ya ndoa sura ya <b>29</b> ya mwaka <b>1971</b> kama ilivofanyiwa marekebisho mwaka<b> 2002 </b>kifungu cha<b> 9(1)</b> kimeeleza kuwa <i><b>&quot;marriage </b></i>means the voluntary union of a man and woman, intended to last for their joint lives&quot; kwa mujibu wa ibara hii wanandoa wanatarajiwa kuishi kama wanandoa kwa maisha yao yote. Aidha ifahamike pia kuwa ndoa ndio chanzo cha familia na serikali inalinda familia kama taasisi ya taifa kwa namna ya pekee kwa sababu kuwepo kwa taifa kunategemea kuwepo kwa familia. <br />
Kwa hiyo, sheria hii ya ndoa imeeleza sababu ambazo zinaweza kupelekea ndoa kuvunjwa <b>kifungu cha 99 </b>kinasema<i> &quot;<b>such marriage must be broken down irreperable</b></i>&quot; kwamba ndoa hiyo haiwezekani tena kuinusurika kama tafsiri iko sawa; kwa hiyo kwa sheria ya Tanzania kama huyu mdau ataenda mahakamani ninauhakika hii ndoa hiwezi kuvunjwa kwa sababu<b> kwanza</b>, bwana yake hakufanya willful refusal to consumet ila ameshindwa kutokana na ugonjwa ambao jitihada za kuutibu bado hazijafanyika na ikaonekana imeshindikana. <b>Pili,</b> hili tatizo its tear and wear of marriage inampasa mwanamke avumilie wakati wakihangaikia tiba kwa hilo tatizo na<b> Tatu</b>, talaka kwa mjibu wa sheria ya Tanzania inatolewa na MAHAKAMA kama last option na kamwe mahakama tukufu haiwezi kutoa talaka wakati kuna alternative nyingine!<br />
<b>Mwisho</b>, jamii ielewe kuwa kama ilivo kwasheria hii, kanisa katoliki (RC) haliwezi kuvunja ndoa kwa sababu yeyote ile kwa sababu ndoa inatenganishwa na kifo tu! kama kuna m2 anadhani inawezeka ajaribu then atatueleza hapahapa kwenye jamvi hili. Mie nashauri aanze kuhangaikia tiba kuliko kufikiria kuvunja ndoa ki2 ambacho hataweza kwa mujibu wa sheria!!!!!
Hata kama hakuna tendo la ndoa? Hii sheria inabidi iangaliwe upya..
 
Inawezekana pindi huyo mwanaume ataridhia kutenganishwa na huyo mwanamke.<br />
Vinginevyo ni mke wake halali kabisaaa.<br />
Lakini si wanakumbatiana usiku kwani lazima jamaa amege?
Kukumbatiana tu hakutoshi bana...
 
<br />
<br />
atakuwa mnafiki huyo binamu yako, kwani hakumbuki kama alimwambia atakuwa nae kwenye shida na raha? Sasa inakuaje atake kutumia taratibu za kuvunja ndoa? Aache ufala, amvumilie tu mume wake.

First Born ukisema hivi utakuwa unakosea.....kiutaratibu ndoa hii inakuwa batili kwa sababu inahesabiwa kuwa mwuolewaji alidanganywa (Kwa wenzake kutomwambia ukweli juu ya status yake- inahesabiwa kuwa ameficha makusudi) na kwa taratibu za kanisa hii inavunjwa bila mashaka iwapo kweli itathibitishwa kuwa mume hakuwa amejieleza hali yake kabla!. (Kwa upeo wangu mdogo wa mambo haya )
 
............The Catholic Church can, however, annul a marriage if there is sufficient proof that the marriage was invalid to begin with. Grounds for annulment include being forced to marry someone, not having enough information about that individual &#8211; as an example &#8211; if the party was an abuser, a convicted rapist and if the individual lied (about wanting children as one example). A marriage can also be annuled by the Catholic Church if the sexual act was not consummated...................

Divorce and the Catholic Church
 
Back
Top Bottom