Mkuu naona umekua kwenye mawazo yangu,nilitaka kusema wana JF tukae mkao wa kula huko mipakani (Holili,Rongai,Namanga,Tunduma nk)nina wasiwasi kuwa watu wataanza kutoroka.Kwa wale wanaokaa karibu na mipakani mtusaidie kuangaza macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.