Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kutokana na utafiti huu kinachozuiwa ni HIV-1, Afrika na hasa Tanzania kuna HIV-1 na HIV-2 na anayeshambulia sana na kumaliza wengi ni HIV-2. Huenda huko Mbeya na Kagera kuna HIV-2 ambaye hazuiliki kwa ndizi
Huo ni utafiti wako au ni hisia,tupe taaluma yako