Ndizi bukoba zinaongeza fluid?

Jamani hebu semeni basi mbona mnaikiwepeshakwepesha hii mada au kuna ka ukweli flani,maana huyu mtoa mada inaonyesha kama ashawahi kukutana na wa-Bukoba akakutana na hayo maji sasa anataka ku-prove kutoka kwa wana JF.

Ha ha ha! Ningekuwa 'nimekutana' nao ningekuwa na proof tayari!
 
Kwaupande wangu sio kweli,kwani nakula mara 1 au 2 kwa week since mumewangu anapenda sana ndizi mbichi,mie na mumewangu ni wa znz. na huyo alokwambia kama kwa wanawake inaongeza fluid je kwa wanaume inaongeza nini?
huko zanzibar hali ikoje aisee...?
 
ingekuwa hivyo wengine tukitembea hizo 'fluid' zingekuwa zinachuruzika....

teeeee heeeeeee teeheeeeee daaah bt umenichekesha sana.
Sasa mtoa mada mbona hujaelezea kwa uzuri? hiyo fluid ina harufu au haina harufu?ni nzito au nyepesi hii itasaidia kuelewa kama ni infection au ni maumbile.
Mimi sijawahi sikia msosi wowote unafanya hivyo ila nimewahi sikia kama mtu anabadili-badili dudu ndio maji yanakuwa mengi.
 
teeeee heeeeeee teeheeeeee daaah bt umenichekesha sana.
Sasa mtoa mada mbona hujaelezea kwa uzuri? hiyo fluid ina harufu au haina harufu?ni nzito au nyepesi hii itasaidia kuelewa kama ni infection au ni maumbile.
Mimi sijawahi sikia msosi wowote unafanya hivyo ila nimewahi sikia kama mtu anabadili-badili dudu ndio maji yanakuwa mengi.

Sasa ki2 cha kuskia ngumu kupata details. Na hiyo kubadili ndo inachangiaje sasa? Mambo haya
 
Mods please msihamishe hii mana huko mnapopeleka sina access!
Sasa nauliza, ndizi bukoba inaongeza vaginal fluid? Mana there z friend of mine 4rm bukoba alinidokeza kuwa zinachangia sana ndo mana wanawake wakule si haba katika swala zima la maji! Somebody with knowledge, experience? Kuna namna ya kupunguza maji?

Mkuu apo unataka kujua kama izo ndizi nizasababisha vaginal fluid au wewe una vaginal fluid nyingi sasa unatafta njia ya kupunguza?
 
Sasa ki2 cha kuskia ngumu kupata details. Na hiyo kubadili ndo inachangiaje sasa? Mambo haya
Badili badili inaweza sababisha upate uambukizo wa magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya kujamiiana(STD'I) kwa mfano chlamydia and gonorrhea ,ingawa sometime huwa dalili hizi hazijionyeshi ,pia Bacterial vaginosis(huu sio ugonjwa wa kuambukizwa) husababisha pia mucus kuongezeka
wewe hujasema hiyo fluid yako ikoje .kawaida vaginal mucus inatofautiana kati ya mwanamke mmoja na mwingine .kama ina harufu ambayo si ya kawaida ni vizuri ukaenda hosp kwa vipimo.
 
Yummy, unazila mara kwa mara au ndo mara moja moja? We wabukoba? Vipi hali ikoje?

Ndio chakula nikipendacho lakini mm sio mhaya.....yani we ukinikaribisha kwako nitayarishie ndizi bukoba tu na mahindi ya kuchemsha(malaini lakini)baaasi utakua umenifikisha hata hiyo fluid itatoka yenyewe...lol
 
Si kweli. Nilikwenda Mbeya kwenye ndizi kama hizo na hawana fluid. Huko Machame mbona zipo ndizi kama hizo? Au Kigoma au Moro?
 
Back
Top Bottom