Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Back to the thread, kama Lowasa ni mwizi na kuna ushahidi kwa nini hayuko jela? Serikali ni ya CCM. Kwa nini wasimfukuze uanachama kwa sababu chama ni chao na wao ni wasafi? Chama ni chao. Kama mwenyekiti anaogopa kumfukuza, kwa nini mwenyekiti asifukuzwe then Lowassa afukuzwe? Hapo ndipo naconclude CCM wote wezi, wanafki na/au waoga. On top of that, it's evidently they have failed us big time.
Thats whatsup! at the bottom line tatizo letu ni CCM. Watu wanafikiria ati mtu tofauti wa CCM basi atakuwa tofauti na wana CCM wenzake. Historia imeshatuonesha mara tatu sasa kuwa CCM is for CCM na hakuna mwana CCM ambaye anaweza kwenda kinyume na kukiletea sifa mbaya chama chake. Lowassa akiingia madarakani hatafanya lolote dhidi ya viongozi waliokuwa wakati wa Kikwete zaidi ya tokens charges kama Kikwete alivyowafanyia wachache wa Mkapa na Mkapa alivyowafanyia wachache wa Mwinyi.