Jasusi, determinant ya rais mpya wa Tanzania atakuwa ni nani na kutoka chama gani, ni mgombea wa CCM, nashauri tufikirie kwanza CCM itamsimamisha nani, ndipo tuje kutafuta wa kushindana naye. Urais 2015 ni kama mbio ndefu, strategy ya kushinda mbio ndefu, ni kutafuta pace makers wazuri ili wawachagize washindani wengine na kuwachosha kabla ili kutoa mwanya kwa the real winner kujipatia ushindi laini!.Mag3,
Hebu tuangalie nje ya sanduku. Si lazima rais mpya atoke CCM 2015. Natamani sana kukizika hiki chama cha CCM ambacho kimesaliti misingi aliyotuwekea Mwalimu Nyerere.
Kwa nini Lowasa. Kwa kuwa anawabebea misalaba watu wengine? Kwa kuwa kaficha hili dogo la Richmond na utajiri wake usioelezeka akiipata IKULU yetu itakuwaje? Nafasi ya Urais bora tuipeleke Zanzibar kwa sasa ili tuwape muda wa kujitokeza Wabara wengine ambao hawana mawaa.Jasusi, determinant ya rais mpya wa Tanzania atakuwa ni nani na kutoka chama gani, ni mgombea wa CCM, nashauri tufikirie kwanza CCM itamsimamisha nani, ndipo tuje kutafuta wa kushindana naye. Urais 2015 ni kama mbio ndefu, strategy ya kushinda mbio ndefu, ni kutafuta pace makers wazuri ili wawachagize washindani wengine na kuwachosha kabla ili kutoa mwanya kwa the real winner kujipatia ushindi laini!.
In that light, the best of the best CCM has ni Lowassa, tuunganishe nguvu, tumsafishe hata ikibidi tumloweke kwenye JIK
Kundi la Mwanakijiji linaanza kumsafisha EL; Mag3, one..two..I am counting
Sifa kuu za kiongozi toka CCMJasusi, determinant ya rais mpya wa Tanzania atakuwa ni nani na kutoka chama gani, ni mgombea wa CCM, nashauri tufikirie kwanza CCM itamsimamisha nani, ndipo tuje kutafuta wa kushindana naye. Urais 2015 ni kama mbio ndefu, strategy ya kushinda mbio ndefu, ni kutafuta pace makers wazuri ili wawachagize washindani wengine na kuwachosha kabla ili kutoa mwanya kwa the real winner kujipatia ushindi laini!.
In that light, the best of the best CCM has ni Lowassa, tuunganishe nguvu, tumsafishe hata ikibidi tumloweke kwenye JIK
Sio bure, nahisi ulilipiwa matibabu yako ulivopata ajali ya boda boda..omba japo starlet basi ili ukipata mzinga mwingine usiwe ww ndo bodi.Jasusi, determinant ya rais mpya wa Tanzania atakuwa ni nani na kutoka chama gani, ni mgombea wa CCM, nashauri tufikirie kwanza CCM itamsimamisha nani, ndipo tuje kutafuta wa kushindana naye. Urais 2015 ni kama mbio ndefu, strategy ya kushinda mbio ndefu, ni kutafuta pace makers wazuri ili wawachagize washindani wengine na kuwachosha kabla ili kutoa mwanya kwa the real winner kujipatia ushindi laini!.
In that light, the best of the best CCM has ni Lowassa, tuunganishe nguvu, tumsafishe hata ikibidi tumloweke kwenye JIK
Mzee Mwanakijiji, Dr. Shein ndio chaguo la JK, japo hata akisimamishwa yeye, bado tutapata mabadiliko ya kweli, tatizo vita vya udini vitakuwa vibaya kuliko vile vya 2010. Wakristu wa bara, hawatamchagua rais Muislamu for another term, hivyo mgombea Mkristo wa upinzani, atajipatia easy ride!. Sipendi tupate rais aliyepigiwa chapuo na kanisa! Tuendelee kupiga chapuo la Edward Lowassa tuu!, au hamtaki mabadiliko?.Kusema ukweli ndani ya CCM sidhani kama kuna mtu anaweza kumchallenge Lowassa kwa 2015. Ila ukinipa kama ni viongozi.. chaguo langu litakuwa Dr. Mohammed Shein. I think one of the best underrated leaders katika Tanzania. Ndio mtu pekee anayeweza kugombea akiwa na credential na kuweza kuwa Rais. Tena I can boldly say hakuna Mtanzania ambaye ataenda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 mwenye qualification ya kuliongoza Taifa kama Shein. Tatizo lake ni lile lile ambalo wengine wanalo - ni mwana CCM. Lowassa hamfikii Shein kwa qualification za kiongozi.
Mkuu ungekuwa unaifahamu JF vyema, basi usingejali kihivyo...Amesema hivyo ili tusimshtukie ..nakwambia soon utamwona mwanakijiji na makala marefu ku-divert public attention kujitayarisha kwa ajili EL
Ukishajua bei ya mwanaharakati inakuwa tamu sana
Mzee Mwanakijiji, unaona mbali sana, Dr. Shein ni spotless hivyo kumtumia kama pacemaker, hatufai!. After all zile kampeni chafu za udini tulizozishuhudia 2010, zitagain momentum na ku triple, Wakristu this time watatoa tena ule waraka wao wa kuwahimiza waumini wao wamchague kiongozi mchaMungu. By that time I doubt kama Moses Kulola atakuwa na nguvu tena, Lusekelo and the like ndilo litakuwa chaguo la kumnadi Muislamu Shein hivyo kutoa easy ride kwa mgombea wa upinzani kama ni Mkristu!Kusema ukweli ndani ya CCM sidhani kama kuna mtu anaweza kumchallenge Lowassa kwa 2015. Ila ukinipa kama ni viongozi.. chaguo langu litakuwa Dr. Mohammed Shein. I think one of the best underrated leaders katika Tanzania. Ndio mtu pekee anayeweza kugombea akiwa na credential na kuweza kuwa Rais. Tena I can boldly say hakuna Mtanzania ambaye ataenda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 mwenye qualification ya kuliongoza Taifa kama Shein. Tatizo lake ni lile lile ambalo wengine wanalo - ni mwana CCM. Lowassa hamfikii Shein kwa qualification za kiongozi.
Mzee Mwanakijiji, unaona mbali sana, Dr. Shein ni spotless hivyo kumtumia kama pacemaker, hatufai!. After all zile kampeni chafu za udini tulizozishuhudia 2010, zitagain momentum na ku triple, Wakristu this time watatoa tena ule waraka wao wa kuwahimiza waumini wao wamchague kiongozi mchaMungu. By that time I doubt kama Moses Kulola atakuwa na nguvu tena, Lusekelo and the like ndilo litakuwa chaguo la kumnadi Muislamu Shein hivyo kutoa easy ride kwa mgombea wa upinzani kama ni Mkristu!
Kwa vile 2015 tunataka mabadiliko ya kweli, Dr. Shein sio ideal candidate kwa sababu baba wa watu ni swala 5 kwa maneno na matendo, sijawahi sikia akimtukana mtu, sijawahi sikia akipokea rushwa, hana makuu, ni down to earth, asa a results, atapata kura nyingi za compassion na kuweza kushinda, tatizo la Shein ni moja tuu, hataweza kutuletea mabadiliko ya kweli tunayoyataka. Mtu wa mabadiliko ni Lowassa tuu!
Patali, asante nimekusikia, boda boba ndio the only mode of transport mwandishi wa kijitegemea anaweza kuaford, hata hivyo ndugu, ukoo, jamaa na marafiki, wamechangishana na kuninunulia bajaj, hivyo msiwe na wasiwasi, sasa ni up grade kidogo kutoka kwenye bodaboda mpaka bajaj, na kama Lowassa atapita, basi mimi nitajitolea kuzunguka nae nchi nzima, ili kuipata ile posho ya hamsini hamsini, by the time kampeni inaisha, nadhani zitatosha kununua starlet used, nimeziona zinauzwa US $ 500 website fulani Japan!.Sio bure, nahisi ulilipiwa matibabu yako ulivopata ajali ya boda boda..omba japo starlet basi ili ukipata mzinga mwingine usiwe ww ndo bodi.
Patali, asante nimekusikia, boda boba ndio the only mode of transport mwandishi wa kijitegemea anaweza kuaford, hata hivyo ndugu, ukoo, jamaa na marafiki, wamechangishana na kuninunulia bajaj, hivyo msiwe na wasiwasi, sasa ni up grade kidogo kutoka kwenye bodaboda mpaka bajaj, na kama Lowassa atapita, basi mimi nitajitolea kuzunguka nae nchi nzima, ili kuipata ile posho ya hamsini hamsini, by the time kampeni inaisha, nadhani zitatosha kununua starlet used, nimeziona zinauzwa US $ 500 website fulani Japan!.
Tusaidiane wandugu ili Lowassa ndio awe mgombea wa CCM! mtakuwa mmepata mgombea safi, na wakati huo huo mmemuokoa mwana jf mwenzenu kujipatia kausafiri, usafiri wangu ni bodaboda, kutokana na hali yangu ya sasa, nimechangiwa hivyo natumia bajaj, Lowassa akipita, nitaweza kununua starlet kama alivyoshauri Patali!
WildCard, kweli hili la Lowassa, nakuomba sana, usitukumbushe Mwalimu, please, utanitia uchungu!.Kwa nini Lowasa. Kwa kuwa anawabebea misalaba watu wengine? Kwa kuwa kaficha hili dogo la Richmond na utajiri wake usioelezeka akiipata IKULU yetu itakuwaje? Nafasi ya Urais bora tuipeleke Zanzibar kwa sasa ili tuwape muda wa kujitokeza Wabara wengine ambao hawana mawaa.
Pasco, tueleze Mwalimu alisema nini juu ya Lowasa. Tuache kwanza hii misalaba mingine mnayosema sio yake.
there is everything in the names we a using!!! including yours and mineKwani Lowasa kakwambia nataka kuwa raisi? au wabongo wamekuambia kuwa wako kkwenona wewe ye mchakato wa kumtafuta rais mpya? Mbona wewe ni mmbea kiasi hicho kama sio kiherehere. Lowasa kakupa bei gani ili uanze kumpigia debe?
Sio bure, nahisi ulilipiwa matibabu yako ulivopata ajali ya boda boda..omba japo starlet basi ili ukipata mzinga mwingine usiwe ww ndo bodi.