Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Leo nimeona nirudi hapa mkekani kuuliza hili swali kama kawaida yetu tukiwa tunataka kujifunza .
Majigambo , majivuno , matambo na vijembe vilimwagwa kwa nyakati mbali mbali .Baadaye tumeona matukio ambayo wengi wanayaita kiini macho nami naitikia kwamba huenda yakawa maigizo kweli .
Sasa tumesha ona kesi za EPA , Mramba na madaraka mabaya na sasa Mgonja.Je tuamini kwamba ulikuwa una maanisha kesi hizi na bado 2 au ulikuwa humainishi hili bado kesi hizo zinakuja ?
Waziri mkuu fate ya Hosea na Mwanyika namna gani ama wewe uko likizo kama majaji hadi urudi ndipo useme kinacho endelea ?
Majigambo , majivuno , matambo na vijembe vilimwagwa kwa nyakati mbali mbali .Baadaye tumeona matukio ambayo wengi wanayaita kiini macho nami naitikia kwamba huenda yakawa maigizo kweli .
Sasa tumesha ona kesi za EPA , Mramba na madaraka mabaya na sasa Mgonja.Je tuamini kwamba ulikuwa una maanisha kesi hizi na bado 2 au ulikuwa humainishi hili bado kesi hizo zinakuja ?
Waziri mkuu fate ya Hosea na Mwanyika namna gani ama wewe uko likizo kama majaji hadi urudi ndipo useme kinacho endelea ?