KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hivi nyie akina Mama nikwanini unapokuwa unatongozwa lazima unizungushee na wakati unajua fika utanikubalia kwa nini usikubali mapema tukaokoa mda??Yaani anakataa mpaka anachojoa!!Mpaka ikifika kwenye shina nakuanza lugha za mapendo ndiyo anaacha kukataa jamani mwe!!Sasa mimi sijui hii ndiyo formula yake kwamba lazima akatae au basi ndivyo mlivyo??Ngoja nisubiri mawazo yenu!:lol: