Ndivyo tunakwenda na wakati?

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,950
711
Siku hizi dada zetu wameona kama ni mtindo kuvaa nguo na kuacha sehemu za nyonyo zao wazi. Huku ndiko tunakwenda na wakati?

001.JPG
 
bora hivi mara mia kuliko kuvaa mabaibui, mabadiliko hayazuiliki, tena bora tutangulie kuliko kuzuia
 
Nyonyo zenyewe zimeshalegea utafikiri kandambili za umoja halafu bado anazi expose, shame on her!
 
Wakati???...baadae watashtuka wanawahi kaburini na kuuacha 'wakati'kama walivyoukuta na sie tulioonekana tuko nyuma ya wakati tutakuwa tunawawaisha ndugu zetu kwenye makazi ya milele na kuwaimbia mapambio,mnaoambiwa hamuendi na wakati msitie shaka maana nyinyi mtaona mengi na mna zawadi ya maisha marefu
 
umenipa raaha kijana wangu ulokua makini yalivyolegezwa ka mikandambili,kwanza nina alegy ni miziwa mikubwa afu balaa ukute yalozeeka ka hayo au yale ya maunda zoro anayoonyesha kwenye shooting ya juzjuz 2,ukiyaona ni kama malapa kweli
 
Wanaume wenzangu utafiti umeonyesha kuangalia manyonyo mara nyingi iwezekanavyo inasaidia kupunguza stress, let us encourage them exposing their boobs.

Unaweza kutuwekea source ya utafiti unaozungumzia?
 
Back
Top Bottom