katelero
JF-Expert Member
- May 31, 2010
- 529
- 83
kuoa ni starehe pia...ambapo katelero ipo ndani yake...
nadhani ni starehe zaidi kama mwanamme hapepesi macho nje, mpaka unaamua kuoa au kuolewa means utulie na huyo mmoja,
kuoa ni starehe pia...ambapo katelero ipo ndani yake...
Sasa kwa nini ulioa, wakati starehe hujamaliza, kha mie ndo maana mahusiano yamenishinda,
jaribu kumshinda shetani
eti nampenda mbaya mke wangu, nini maana ya UPENDO??? aggrrrrr nini maana ya UPENDO jamani???? eeeh, upendo uvumilia, upendo hauhusudu, upendo hautamani, etc
unasema unampenda mkeo huku unaparamia vimada njee, shame on you:A S angry::A S angry:
ushawahi kujiuliza kwanini watu wanaoa au kuolewa?...concept behind marriage imeanzia enzi za uumbaji wa dunia pale Sir GOD alipomcheck ADAM akagundua huyu bwana anahitaji MSAIDIZI...akamuumbia EVA....
so eva kama mwakilishi wa wanawake ni "msaidizi" wa mwanaume...sasa ndoa au unapo-oa/kuolewa ni kutimiliza hii concept ya msaidizi...starehe zipo na hujakatazwa ku-starehe hata kama umeoa...sasa kaka kama unaamini kucheat ni kufanya starehe...unaweza pia kuamini kuwa ku-cheat ni suala la kuwa na "msaidizi wa wife wa pembeni"...ni maoni tuu wadau
Aziniye hana akili kabisa. Nakubaliana na wewe.Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Haya si maneno yangu bali ni kwa mujibu wa Neno la Mungu, Biblia.
Sikutegemea swali kama hili kutoka kwa Who Cares kweli umdhania ndie kumbe sie
haya bwana endelea na matamanio yako:doh:
hee!!Naenda kukusemea kwa mkeo
gahahahaa!!! kama mkewe anajua tayari je?nakwambiaje????????huyu ni wa kusemewa tu kwa mkewe na apewe talaka hafai hata kidogo lol!!!!!!:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
Aziniye hana akili kabisa. Nakubaliana na wewe.
jana napiga mdogo mdogo joint ya karibu na home sasa akatokea shory mmoja nikamnunulia kilaji nikamwomba contacts si akang'aka ohhh wee umevaa ring umeoa...nikamwambia kweli nimeoa na nampenda sana mke wangu ila tamaa na matamanio yangu ya mwili ndio yananifanya ni-test utamu wa penzi lako yani ile kitu ya fastafasta..alikuwa kidoogo mgumu kunielewa ..ila hapa wadau hoja ya msingi ni kuwa "kwanini mabinti wanajibaraguzaaa ile kukubali kuwa mwanaume akioa sio mwisho wa matamanio kwa wanawake wengine??"..ndio nimeoa na nampenda mbayaaa mke wangu
kumbe ni ''aziniye hana akili kabisa'' eeeh!!!!!!
Na si 'aziniye na mwanamke'
ahahahaa!! acha uhuni wewe, binadamu anazini na mwanamke au mwanaume!! mambo ya mabata hayakuongelewa kwenye kile kitabu bana!! not a line i can remeber off my head anyway!hata akizini na bata dhambi ipo palepale
ahahahaa!! Acha uhuni wewe, binadamu anazini na mwanamke au mwanaume!! Mambo ya mabata hayakuongelewa kwenye kile kitabu bana!! Not a line i can remeber off my head anyway!