Elections 2010 "NDIO MZEE" ya Joseph na ahadi za JK

coby

JF-Expert Member
Nov 28, 2008
342
39
Wadau nilikua nasikiliza wimbo wa msanii wa kizazi kipya Joseph Haule maarufu kama Prof. J wa "Ndio Mzee" na ndipo nikaanza kukumbuka ahadi za Jakaya kikwete moja baada ya nyingi kwa zote zaidi ya 70 sasa. Ndipo nikagundua Joseph alikua akimsema moja kwa moja JK kwani hadi hivi sasa amebakiza ahadi moja tu ya 'mabomba kutoa maziwa'!!
 
mmmmmmmmmmmmm, ahadi kibao, si wanajua wananchi wa tanzania ukiahidi basi umewamaliza, kwani wanataka nini baada ya kushinda kwenye jua kali bila kula wala kunywa chochote wakisubiri mgombea uraisi aje kuhutubi. mgombea ambaye muda wote alikuwa sehemu rasmi akila, kunywa huku akipilizwa na kiyoyozi, akisubiri aende kuwadanganya wananchi ambao ni ngazi yao kufikia malengo yao kisiasa. Wananchi wakisha pewa ahadi 'fake' watashangilia na kurudi majumbani mwao roho zao saaaafiiiiiii, na kula watampa.
 
Back
Top Bottom