mchezo wa netball ulianza kupoteza umaarufu baada ya kuanza matumizi ya skin tight.nakumbuka enzi zile nasoma tambaza kabla hatujatimuliwa, wakati wa UMISETA tulikuwa tunajaa sana kwenye viwanja vya netball pale jangwani sec tena tunacheki game tukiwa tumekaa chini huku tukiacha kwenda kushangilia timu yetu ya mpira wa miguu
Kimburu unahitaji wokovu, nakushauri uende kwenye kanisa la Wokovu (Kakobe, Mwingira, Lwalkatare, Gwajima etc) uombewe, nahisi umetupiwa jini mahaba la kutoka Pemba!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.