He's holding a certain position in gvt where he can manouvre vijisent. Ktk hali isiyo ya kawaida ameingizwa town na wafanyakazi wengine wa serikali/polisi eti gari lake lina outdated insurance. Akalipa eti ni faini tsh 500,000/=. Alipoomba lisiti kaambiwa ataletewa huku wanaondoa gari lao. Jamaa ameachwa palepale anatafakali gvt anayoitumikia! Kumbe serikali ndivyo ilivyo. Ameondoka kwa hasira akaelekea ofcn kwake kupokea wateja na kukusanya mapato ya serikali. Huyu jamaa anyamaze kimya au nae awalize wtz wengine? Nawasilisha.