Ndg Asprin

Wivu alosema babu nimeanza kuuona. babu usijali mimi na wewe kwenye PM basi.
Loveness..huoni kuwa unahatarisha nanihii yako kwa kuingia PM na Babu?....Tuulize wakongwe hapa tukupe siri kuwa FirstLady1 anapeleka posa mahali ili babu apate mke wa 8!...stuka Loveness...Mi niko single maana nimedivorce aliyekuwa mke wa 4 mwaka jana!
 
wanasema maji ya kifuu ni bahari ya chungu.... hongera kwa kumfanya mtu aamke na kujisikia vyema zaidi... damie kanikumbusha tangazo la revola!!!
Mkuu, ni Tangazo la REVOLA au REVOLA YENYEWE!
 
Hongera bibie kwa kutupa sababu nyingine ya kutokula kibua na familia leo..

Hahahaha.... we ni muzee ya kutafuta sababu;

Sababu ya leo............kujadili busara za babu Asprin
Location............. JJ Bar Sinza
Wahudhiaji........Wapwa na Wajukuu wa babu
Vinywaji.........Bia, Valuu na Konyagi.
Duration........... Kuanzia saa kumi mpaka muda wa kushiriki chakula na familia
Mgani Rasmi............DaMie

Wooooote mnakaribishwa kujongea meza ya babu.
 
Nimesoma hapo tu. Wenye wivu na wapate minyoo ya kitimoto kwenye miguu yao.....minyoo na ianze na Fidel80.

Mbn unampa laana ndogo huyu na wivu wake. Busara za babu hizo
 
hahahaa,
hata mie nakupa hongera asprin.
na wengine wenye busara wapo wengi ila hii ya leo ilikua special kwa wewe.
 
Loveness..huoni kuwa unahatarisha nanihii yako kwa kuingia PM na Babu?....Tuulize wakongwe hapa tukupe siri kuwa FirstLady1 anapeleka posa mahali ili babu apate mke wa 8!...stuka Loveness...Mi niko single maana nimedivorce aliyekuwa mke wa 4 mwaka jana!

shemeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeji !kumbe umenanihiii niletee wanangu nikae nao we hangaika mwenyewe
 
Mbn unampa laana ndogo huyu na wivu wake. Busara za babu hizo

Nilishangaa ulipo mfagilia eti ana busara, mwenye busara anataka mtu apate minyoo ya nguruwe?

Umewahi iona minyoo ya nguruwe ilivyo?
 
Hahahaha.... we ni muzee ya kutafuta sababu;

Sababu ya leo............kujadili busara za babu Asprin
Location............. JJ Bar Sinza
Wahudhiaji........Wapwa na Wajukuu wa babu
Vinywaji.........Bia, Valuu na Konyagi.
Duration........... Kuanzia saa kumi mpaka muda wa kushiriki chakula na familia
Mgani Rasmi............DaMie

Wooooote mnakaribishwa kujongea meza ya babu.

Naweza kuongozea ajenda kidogo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom