Ndesamburo-CHADEMA akubali Mahakama ya Kadhi!!

Ndesa yuko sahihi sana..

JK haiwakuwa mawzo yake ila mawazo ya maaskofu (pure)

NB. Ndesamburo ameelewa kitu ambacho waislam tunataka, wasiwasi wangu ni kuwa ataweza kupambana na mfumo kristo?

Mahakama ya Kadhi tatizo si mfumo wa kikristo,tatizo ni waislam wenyewe,na kibaya zaidi ni ubaguzi mnaoundekeza waislamu.
Wakristo hawana time na hayo mambo,na ukitaka ujue hakuna ubaguzi nenda Radio WAPO utawakuta waislamu wanafanya kazi,nenda Radio Faraja utawakuta waislamu,nenda Radio Tumaini,lakini je Radio Iman kuna wakristo wangapi?
 
Pasi na shaka yoyote kuna agenda ya siri hapo.

Ngoja tutaona mengi mwaka huu.
Mbowe kajenga msikiti , sasa wengine watatoa pesa kupeleka watu hidja hapo lakin msingi mkuu ni 2015.

Kuweni na subara
 
Amesema haoni sababu ya serikali kukataa kuanzishwa kw amahakama ya kadhi kikatiba na kutengewa pesa na serikali; kwani serikali inatenga fedha nyingi kwa mambo ya kisiasa na kusahau mambo yanayogusa jamii ya kiislam Tanzania; ili kuepusha kutokuelewana katika jamii..

Aitaka serikali kutenda haki dhidi ya waumini waislam na kuandaa bajeti kwa ajili ya mahakama ya kadhi kama ambavyo inatoa pesa za ruzuku kwa vyama vya siasa..

My Take:

Anasema kweli lakini itakubalika huko kwenye hierachy za chadema?? au anawauza waislamu kama Mrema enzi hizo???

Source: Michuzi Blog..

Hayo ni mawazo yake mzee Ndesamburo anayohaki kikatiba kusema, lakini kitu muhimu kwa waislamu kwa sasa ili kuhakikisha matakwa yao yote ya kuhusu Mahakama ya Kadhi, Jumuiya ya OIC na serikali kuwa ni ya kidini yanaingizwa kwenye Katiba mpya itakayoundwa ili kupata nguvu ya moja kwa moja, vinginevyo bila vita na kushinda wasahau hiyo kitu kwa nchi hii. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema serikali haina dini hapo ndiyo panaleta ugumu serikali kuwa ya ni ya dini ya kiislamu.
 
Wrong strategy! Waislamu baada ya kudanganywa na mwenzao Jk sidhani watakuwa tayari kusikia sauti kutoka kanisani-CDM
 
Naona Mzee sasa anachukua hatua kuelekea ndoto ya kuichukua nchi... Wenye jicho la tatu wamenielewa
 
Amesema haoni sababu ya serikali kukataa kuanzishwa kw amahakama ya kadhi kikatiba na kutengewa pesa na serikali; kwani serikali inatenga fedha nyingi kwa mambo ya kisiasa na kusahau mambo yanayogusa jamii ya kiislam Tanzania; ili kuepusha kutokuelewana katika jamii..

Aitaka serikali kutenda haki dhidi ya waumini waislam na kuandaa bajeti kwa ajili ya mahakama ya kadhi kama ambavyo inatoa pesa za ruzuku kwa vyama vya siasa..

My Take:

Anasema kweli lakini itakubalika huko kwenye hierachy za chadema?? au anawauza waislamu kama Mrema enzi hizo???

Source: Michuzi Blog..

wanakubali kiaina; hasa mioyoni mwao
 
Uislamu ni dini ya Allah S.A.W na sisi waislamu hatuna migogoro yoyote inayohitaji kusuluhishwa ktk mahakama iwayo yote...so hatuhitaji mahakama ya kadhi wala ya uhalifu wa kivita!...ova!
 
... There we go again! Trying to please some few whiny individuals!
 
huyu mzee sasa anazeeka,naona anashidwa kutofautisha chama cha siasa na taasisi za kidini
 
Alichosema JK ni sahihi.Kodi tunazo lipa zimechangiwa na dini mbalimbali na siyo rahisi kuchanganua hii imelipwa na mkristu na hii na muislamu,kwenye maswala ya dini kila dini ijitegemee pamoja na waumini wake na siyo kweye pesa ya mpiga kura.Mahakama ya Kadhi inamsaidia nini raia wa dini nyingine au asiye na dini?
 
"Mbowe for Presidency 2015 usikubali Rais aliyewahi kuwa Padre na katibu wa TEC""
progress.gif
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=3160037

Topical;

Kwani huona Maimamu, wachungaji eg Rwakatare n.k wapo Bungeni? Je, tunachokitaka ni uimamu,upadri, uchungaji wa mtu atu utendaji kazi wake? This is a foolish stateme according to me.
 
Back
Top Bottom