ivanorkababu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 412
- 350
kodi zitakazotozwa kwenye ndege hizo pesa zitajenga barabara na kununua madawa
Ukiwa na mawazo mafupi ndio utafikiria hivyo na ukiwa mbinafc ndio utafikiri hivyo msaada wa ndege sio lazima apande bibi yako kama bibi yako au ww hauna uwezo watapanda wenzio na mapato ya hapo ndio yatamsaidia bibi yako kipata lami kijijini dawa mahospitalini na mengine mengiHakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,
Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.
Wataalamu msaada wenu.
Na wewe unajiitaGT?Ukiwa na mawazo mafupi ndio utafikiria hivyo na ukiwa mbinafc ndio utafikiri hivyo msaada wa ndege sio lazima apande bibi yako kama bibi yako au ww hauna uwezo watapanda wenzio na mapato ya hapo ndio yatamsaidia bibi yako kipata lami kijijini dawa mahospitalini na mengine mengi
Huyo bibi yako akiona ndege anatimua mbio. Apande punda tu ndio saizi yakeHakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,
Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.
Wataalamu msaada wenu.
Kama la kwangu halikuwa jibu soma ya wenzangu, bado yatakufaa. Sina uhakika na elimu yako, lakini namna yako hii ya kufikiri ni mogogolo mkubwa.Mkuu kama huwezi kujibu basi nyamZA
Ni priority za watanzania wepi unazozungumzia? Kwani mahitaji ya watanzania wote yanafanana?Nadhani mtoa mada alikua anamaanisha wale Watanzania Wanyonge. Kwa maana ya priority ni nini kwa Watanzania walio wengi. Bibi hapo amewakilisha tabaka la wanyonge.
Ndege zinamsaidia wewe kwenda kumsalimia harakaHakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,
Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.
Wataalamu msaada wenu.
Mwaka juzi mkuu na sio mwaka jana.labda ulikuwa unataka nini?Duh kazi ipo, we jamaa si umetoka chuo mwaka jana.
Vichaa wanaongezeka sana tanzania! Swali juu ya swali,mbaya zaidi mi naongelea ndege ajabu wewe unakuja na habari za mwendokasi na UkutaKwani haya mabasi ya mwendokasi yanamsaidia vipi bibi yako huko kijijini,au maandamano ya UKUTA yanamsaidia vipi bibi yako huko kijijini.
Acha ujinga ndugu. Hostel hizo wanakaa watoto wa maskini toka pande zote za nchi yetu.Uliza pia hostel zinazojengwa chuo kikuu cha Dar es salaam zinamsaidiaje bibi yako. go Magufuli maneno ya watu yasikurudishe nyuma na jitihada zako za kweli kweli...