Ndege za utafiti toka Malawi bado zinaendelea kuruka eneo la Tanzania ndani ya ziwa Nyasa

Sina hakika kama Wapo Radio wamefika eneo la tukio...Mimi ninaongea sasa nipo huku na nimezungukia maeneo yote ambayo ndege hizo zilionekana kabla ya Tanzania kuwaomba kuacha. Nimeongea na Mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na mkuu wa brigedi ya kusini inayosimamia mikoa tisa, pia nimefanikiwa kupenya mpaka Malawi na kuzungumza na watu kule. Kiufupi hakuna ndege zinazoruka kwa sasa..Ni kweli kulikuwa na taharuki na kuna baadhi ya watanzania wamekimbilia Musumbiji na hasa vijana na baadhi kutafuta maeneo ya kununua na kujenga nje ya mkoa wa Ruvuma.Biashara zinaendelea kama kawaida na wavuvi bado wanavua na hasa baada ya kutoziona ndege hizo na kuhakikishiwa usalama wao na serikali ya Tanzania. Picha namba 1 ni Mkuu wa Mkoa Mh. Mwambungu akizungumza na wananchi wa Mbambabay nyuma yake anaonekana Mkuu wa Brigedi ya kusini, Kamanda John Chacha. Picha namba 2 ni Makamanda ambao ni wajumbe kwenye kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa..Alikuwepo OCD akimwakilisha RPC, Mkuu wa Uhamiaji Mkoa, RCO, Mkuu wa Magereza Mkoa na kamanda John Chacha. Picha namba 3 ni mimi mwenyewe nikisaidiana na wavuvi kuvuta mtumbwi wao nchi kavu,. Picha namba 4 niko na Mashaka Mgeta (Mwandishi wa Habari-Nipashe + wavuvi tukitoa nyavu kwa mtumbwi). Picha namba 5 nikiwa ufukweni mwa Ziwa Nyasa na nyuma yangu ni wavuvi plus wafanyabiashara wa samaki...
1.JPG
2.JPG
3.JPG
4.JPG
5.JPG
 
When the push comes to shove this is the General who will teach Malawians a lesson or two:
4321202721_33e54c01f3_b.jpg

4321936460_1f706e2e7c_b.jpg

4321943078_63830a23db_b.jpg

Major General Wynes Jones Kisamba commander of Tanzania Land forces
 
Shamba la bibi kwani inakuwaje? si hivyo hivyo? Labda tuombe tu wayakose hayo mafuta ili watuachie hako ka kipande vinginevyo ni sawa na kumwambia jambazi anayevunja mlango wa nyumba yako usiku kwamba weee mwizi acha kuiba huku umelala kitandani ukitegemea atakuacha.

"Problems cannot be solved by the same level of thinking which created them".... by hon. Peter Mswigwa

ni juzi tu karibu JWTZ walihamia mpakani kukaa katika hali ya utayari, sidhani kama ni ndege za malawi, labda za Tanzania. Watanzania tunaweza kuwa hatuna uwezo wa kutofautisha ndege. Wamalawi wametangaza wenyewe kuwa wanaenda kwenye mazungumzo, na kufungua kesi ya madai. sasa kuendeleza utafiti maana yake ni nini? inawezekana siyo kweli
 
Sina hakika kama Wapo Radio wamefika eneo la tukio...Mimi ninaongea sasa nipo huku na nimezungukia maeneo yote ambayo ndege hizo zilionekana kabla ya Tanzania kuwaomba kuacha. Nimeongea na Mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na mkuu wa brigedi ya kusini inayosimamia mikoa tisa, pia nimefanikiwa kupenya mpaka Malawi na kuzungumza na watu kule. Kiufupi hakuna ndege zinazoruka kwa sasa..Ni kweli kulikuwa na taharuki na kuna baadhi ya watanzania wamekimbilia Musumbiji na hasa vijana na baadhi kutafuta maeneo ya kununua na kujenga nje ya mkoa wa Ruvuma.Biashara zinaendelea kama kawaida na wavuvi bado wanavua na hasa baada ya kutoziona ndege hizo na kuhakikishiwa usalama wao na serikali ya Tanzania.

nakubalina na wewe hata kama utakuwa umedanganya. jambo hilo sio kweli
 
kumbe post yenyewe ya tarehe nane? wakubwa tuwe tunapitia vipengele vyote la sivyo tutakuwa tunapeana pressure bure
 
naamini wewe si mtanzania, na kama unajiita mtanzania ni wa kuomba passport.Umepata wapi ujasiri wa kusema hivyo.hata kama watendaji ni wabovu na siasa si ya demokrasia ya uwajibikaji na ni mafisadi; ardhi ya tanzania ni watanzania, ni lazima watanzania tutetee hata kama ni kipande cha ekari moja.Walikuwa wapi miaka yote hiyo kudai hicho kipande cha ardhi kama si ukorofi?tumekuwa marafiki tangia enzi za muluzi, mbigu wa mthalika, huyu mama ana asili kweli ya banda, miaka ya nyuma ndugu banda alikiona kichapo.Mi sitaki kuingia ndani ya dipolomatic intelligency, lakini, naamini, hawa kichapo ni chao.Nasihi watanzania ni lazima kutetea ardhi yetu mpka tonela mwisho wa damu yetu.

we have now to walk our talk! sasa hivi inatakiwa ndege ikiruka juu ya anga yetu ipigwe chini na hapo vita ianze haraka, huyu mama ni mjeuri na mkorofi sana ndio maana hata na rais wake walikuwa hawaelewani Malawi bila kuwaangushi kichapo hawatarudi nyuma jk anaenda kujadili nini haswa maana sisi tunajua mpaka ni kati kati ya ziwa sasa yeye ana ajenda gani tofauti ambayo wamalawi hawaijui??
 
poor arab tanzanians let us think like civilized people. We are very poor country under arab control. So where is our national pride?
 
nakubalina na wewe hata kama utakuwa umedanganya. jambo hilo sio kweli

Nashukuru mkuu japo comment yako haijanitendea haki, sina tabia na sikulelewa hivyo..Kama una hitaji kujua naweza kukupa namba za mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bw. Mwambungu ili akuhakikishie kama nimeongea naye au la...Maana hata nikikuambia soma The Guardian ya leo ambayo nimetoa report kamili na bado unaweza usiamini kama nasema ukweli au la.
 
Sina hakika kama Wapo Radio wamefika eneo la tukio...Mimi ninaongea sasa nipo huku na nimezungukia maeneo yote ambayo ndege hizo zilionekana kabla ya Tanzania kuwaomba kuacha. Nimeongea na Mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na mkuu wa brigedi ya kusini inayosimamia mikoa tisa, pia nimefanikiwa kupenya mpaka Malawi na kuzungumza na watu kule. Kiufupi hakuna ndege zinazoruka kwa sasa..Ni kweli kulikuwa na taharuki na kuna baadhi ya watanzania wamekimbilia Musumbiji na hasa vijana na baadhi kutafuta maeneo ya kununua na kujenga nje ya mkoa wa Ruvuma.Biashara zinaendelea kama kawaida na wavuvi bado wanavua na hasa baada ya kutoziona ndege hizo na kuhakikishiwa usalama wao na serikali ya Tanzania. Picha namba 1 ni Mkuu wa Mkoa Mh. Mwambungu akizungumza na wananchi wa Mbambabay nyuma yake anaonekana Mkuu wa Brigedi ya kusini, Kamanda John Chacha. Picha namba 2 ni Makamanda ambao ni wajumbe kwenye kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa..Alikuwepo OCD akimwakilisha RPC, Mkuu wa Uhamiaji Mkoa, RCO, Mkuu wa Magereza Mkoa na kamanda John Chacha. Picha namba 3 ni mimi mwenyewe nikisaidiana na wavuvi kuvuta mtumbwi wao nchi kavu,. Picha namba 4 niko na Mashaka Mgeta (Mwandishi wa Habari-Nipashe + wavuvi tukitoa nyavu kwa mtumbwi). Picha namba 5 nikiwa ufukweni mwa Ziwa Nyasa na nyuma yangu ni wavuvi plus wafanyabiashara wa samaki...
View attachment 62243
View attachment 62249
View attachment 62251
View attachment 62252
View attachment 62253
Bila shaka mkuu ntamaholo kwa picha hizi unaweza kuamini kuwa ni kweli niko Nyasa na kesho ndo narejea home...
 
Back
Top Bottom