Ndege za utafiti toka Malawi bado zinaendelea kuruka eneo la Tanzania ndani ya ziwa Nyasa

Sasa kama wanaziona hizo ndege bado wanaziangalia tu jeshi limeenda huko kufanya nini,au wanamsubiria amiri jeshi mkuu aseme.

Wanacheza kweli hao ka nchi kenyewe kama mkoa wa ruvuma tutatumia mgambo kusambaratisha hizo ndege zao

Amiri jeshi akisema twanga utaona balaa lake. Waache waendelee na ukauzu wao!

Jk sijui anafikiria nn
 
Wacha iende/wachukue ni sawa kabisa. Tukipewa/tukichukua haitusaidii chochote zaidi ya mafisadi.
Twiga imepandishwa ndege watu wameweka hela mfukoni kesho na keshokutwa watalii wanahamia Oman huku tunabaki kufa njaa, wapi na wapi!

Wabebe liziwa lao waende wakafanye shughuli zao wanazotaka, mimi nimeshajichokea na hii serikali kapiganeni nyie mnaotetea taifa la maboksi
 
WAPO Radio haiwezi kuwa source ya tukio la kiusalama. Source inaweza kuwa Mkuu wa Mkoa, TCAA , Makao Makuu ya Jeshi au Wizara ya Mambo ya Nje.

Wee endelea kusubiri hizo soirce zako kama zitasema lolote
 
[FONT=comic sans
ms]naamini wewe si mtanzania, na kama unajiita mtanzania ni wa kuomba
passport.Umepata wapi ujasiri wa kusema hivyo.hata kama watendaji ni
wabovu na siasa si ya demokrasia ya uwajibikaji na ni mafisadi; ardhi ya
tanzania ni watanzania, ni lazima watanzania tutetee hata kama ni
kipande cha ekari moja.Walikuwa wapi miaka yote hiyo kudai hicho kipande
cha ardhi kama si ukorofi?tumekuwa marafiki tangia enzi za muluzi,
mbigu wa mthalika, huyu mama ana asili kweli ya banda, miaka ya nyuma
ndugu banda alikiona kichapo.Mi sitaki kuingia ndani ya dipolomatic
intelligency, lakini, naamini, hawa kichapo ni chao.Nasihi watanzania ni
lazima kutetea ardhi yetu mpka tonela mwisho wa damu yetu.

[/FONT]

binafsi sijivunii utanzania wangu,so liwalo na liwe....hii nchi si ya watanzania tena..usishangae ukaambiwa ni upepo tu utapita, lolote linawezekana kwa serikali dhaifu ya ccm
 
Ureni na Wana JF,
Jamani tusishabikie Vita, tuangalie Upande wa Pili baada na wakati wa vita.
Diplomasia itumike zaidi, na tumwombe Mungu hiki kitu kisifike
Msiba uwe kwa jirani, ukiwa kwako ndio utajua Uchungu wa Kufiwa.
My Take: Mkuu wa Kaya aka Amiri Jeshi endelea na Diplomasia, Hatutaki Vita sisi
Nawakilisha

Licha ya mkwala mkubwa uliopigwa na serikali ya Tanzania kwa Malawi bado ndege zao zinaendelea na utafiti kama kawaida ndani ya eneo la ziwa.Wananchi kuzunguka ziwa wameanza kuingiwa hofu kuwa vita inaweza kutokea wakati wowote kuanzia sasa.

Source.Wapo Redio
 
wakubwa hii nchi inaserikari yenye matatizo mengi sana kwa hili nakubali,lakini tupokuja kwenye swala la kama malawi ni lazima kuweka itikadi zetu pembeni na kuwa kitu kimoja,sisi Wanajeshi tunaamini ktk UMOJA na ndio maana utaona nembo ya JWTZ inaneno UMOJA.Labda niseme kitu kimoja kama mwananchi mzalendo na mwanajeshi wa JWTZ ambaye kwa namna yoyote naweza kuwa mstari wa mbele kwa kadri wakuu wangu watakavyo amua,kwamba,ikitokea hata sasa kwa namna yoyote MMALAWI TUNAPIMGA KWA MUDA USIOZIDI NUSU SAA,najua kauli hii itawakwaza wachache wenu lakni naeleza hali halisi,alafu vijana tunahamu sana sema mnatuchelewesha tu,nyie bishaneni wee lakini ukweli ni kwamba MALAWI NI WALITO KWA TZ
 
Mbona Israel ni Kama Mkoa lakini kibano chake si cha kitoto wewe gamba ukubwa wa nchi sio uwezo wa kivita

usijaribu kupotosha watu kwa mifano mfu,nakuhakishia alipoponea kichaa wa jiran yako,huwenda kichaa wako asiponee pale.nasema,inatoke,malawi hata kama akisaidiwa malawi tunampiga ndani ya dk 30 na yule mama yenu tunawalete jangwani akiwa kwenye drip,utaniambia,tena unanitia hasira wewe
 
ninaimani na jeshi la tz hawawez kutuangusha mungu ibariki TANZANIA

ondoa shaka ktk hilo,labda mkwele awe mpole,tunataka kauli kama za Mwalimu,dk20 nyingi yule mama tunawaletea hapa tena akiwa na hana hata sindilia
 
Patrick Kabambe wa Mambo ya nje ya Malawi nadhani ana nguvu kubwa sana inayomtuma kuropoka maneno kama haya, kama hafanyi maigizo.

Baadhi ya Wamalawi waanza kulaumu kuwa Tanzania inapenda vita na ndio maana imesogeza vikosi vyake vya jeshi karibu na mpaka (jambo ambalo hawakulidhibitisha).
A Malawian Online PublicationTanzania
 
Mkuu MpigaKelele wala wasikupe homa,huyu mama anatushika makario hatuta muacha,yawezekana kamzia jk na jk mtoto mjini kamtosa baada ya kuona sura nzito,mama kaanza kulipiza kisasi...sasa asubiri ataona mziki
 
Last edited by a moderator:
Malawi ina haki kamili ya kufanya utafiti ktk nchi na ziwa lao, waacheni Tnganyika na kelele na ufisadi wao.


Huyu bado hajapigwa Ban tu?!!! This more than an insult kwenye jukwaa la watanzania. Maisha ya watanzania zaidi ya 600000 yanawekwa rehani halafu unafanya mzaha!!!
 
Tunatakiwa kuwajua wanaompa kiburi huyu Patrick Kabambe, kama haigizi haya maneno yake.

Kuna kamsemo huku mtaani kanasemeka hivi " hutakiwi kuangaika na mbwa aliyemuuma mwanao bali SEMA na mmiliki wa mbwa huyo".
 
Unajua wanaotetea wamalawi usikute hawajawai kumiliki ata eka moja ya ardhi alafu mtu aitwae uone uchungu wake
 
Hivi kikwete ameshasema chochote? Mwenzake wa nyasaland walau aliongea, huyu wetu sijui yuko bizy na nn
 
Kuna picha nimeiona leo kwenye gazeti la mwananchi Joyce Banda akiwa kamkumbatia Hillary Clinton alipokwenda kutembelea malawi. Msishangae kiburi chote alichonacho huyu mwanamke kinatokana na Back-up ya US gov
 
Nasisitiza kwa mara nyingine, vita siyo option kwa sasa! Kupiganisha nchi hii hata kwa wiki moja tu kutatuacha hoi ibn taaban.
Diplomasia bado ina nafasi kubwa sana ya kusolve suala hili.
 
Back
Top Bottom