Sasa kama wanaziona hizo ndege bado wanaziangalia tu jeshi limeenda huko kufanya nini,au wanamsubiria amiri jeshi mkuu aseme.
Wanacheza kweli hao ka nchi kenyewe kama mkoa wa ruvuma tutatumia mgambo kusambaratisha hizo ndege zao
Amiri jeshi akisema twanga utaona balaa lake. Waache waendelee na ukauzu wao!
Jk sijui anafikiria nn