Mama Mdogo, .. mipaka Mwakyembe ni wizarani kwake .. Hao 540 & Precision hana cha kuwafanya/ ... zaidi ya kufoka au kutishia kuwanyang'anya leseni.
Abiria wa ndege wa Tz wanateseka kwa kuwa hawajui sehemu ya kudai haki zao
Itirafu = hitilafu
halafu ndege inapokuwa na hitilafu mara kwa mara, delays zisizoisha bado unatetea wenye ndege???????????????? Wabongo bwana
wameairisha = wamehairisha
Huo ndio muda muafaka kwa ATCL kurudisha na kupata wateja wapya, ATCL inatakiwa ijiimalishe zaidi na kuchukua advantage ya failure za Prec na 540
WAMEHAIRISHA = WAMEAHIRISHA. Kiswahili bwana! Hata kwa wabongo ni mzigo.Itirafu = hitilafu
halafu ndege inapokuwa na hitilafu mara kwa mara, delays zisizoisha bado unatetea wenye ndege???????????????? Wabongo bwana
wameairisha = wamehairisha
Mama mdogo unavituko! Abiria wamekwama JNIA wewe unataka Mwakyembe aende KIA vipi tena!Nawashauri wampigie simu Dr Mwakyembe haraka sana (Namba hiyo ya simu aliyoitoa pale Jangwani ni 0782 242526); si ajabu akapanda helicopter ya jeshi akaenda KIA kuokoa suluhu. Pigeni sasa hivi, keshatoka kanisani kwa Rev Gwajima.
.Mama mdogo unavituko! Abiria wamekwama JNIA wewe unataka Mwakyembe aende KIA vipi tena!
Abiria waliokuwa safarini kwenda Mwnza leo kwa ndege za 540 na Precision air wamekwamba uwanja wa ndege wa JNIA na hali ni mbaya.
Precision Air wamebadili ndege yao iliyokuwa iondoke saa 5 asubuhi (kwa kutumia ndege aina ya Boeng) bila taarifa na kusababisha usumbufu mkubwa sana kwa abiria. Baadhi yao wamehamishiwa kwenye ndege za saa 8.30 mchana na saa 12 jioni. Wakati huo huo, kuna abiria ambao wamecheleweshwa hadi kesho.
Jambo ambalo linakera sana ni kwamba wakubwa wa shirika hili hawapo ofisini kutoa majibu kwa abiria ambao wanateseka bila sababu.
Ndege ya 540 imekwama kuondoka toka jana na hadi sasa hakuna maelezo ya maana! Baadhi ya abiria wako airport hadi sasa!
Africa tuna matatizo lukuki sijui ni udhaifuuu au,, bila shaka.ni kweli uyasemayo, ndege zimekuwa kama daladala za kutoka mbezi tangi bovu kwenda goba (zile chai maharage), usafiri umekuwa nikero tupu afadhali hata tena ya usafiri wa basi.
wameairisha/wamehairisha/= wameahirishaItirafu = hitilafu
halafu ndege inapokuwa na hitilafu mara kwa mara, delays zisizoisha bado unatetea wenye ndege???????????????? Wabongo bwana
wameairisha = wamehairisha