Ndege za Malawi zafungasha virago Ziwa Nyasa

Likipelekwa Mahakama ya Kimataifa, ninaomba Tanzania iwakilishwe na mwanasheria mzuri, siyo hao wababishaji. Wasistize dondoo tano tu katika kesi hiyo;

Dondoo ya kwanza iwe ni kukumbusha kuwa mkataba wa Berlin wa 1885 kuhusu bonde la Kongo ulikuwa umeliacha Ziwa nyasa pamoja ni mito yote katika eneo hilo kuwa ni maeneo huru yatakayotumiwa na nchi zote.

Dondoo ya pili iwe ni kukubali kuwa mkataba wa Heligo wa 1890 ulitaka himaya ya ujerumani iishie kwenye ziwa Nyassa; lakini wakumbushe tena kuwa wakati wa mkataba huo hakukuwa na himaya yoyote iliyopewa eneo la ziwa lile kwa vile Uingereza ilishapinga Ureno (ambayo ndiyo ilikuwa imechukua eneo lile wakati wa makubaliano ya Berlin) isikalie eneo hilo kutokana na waingereza wawili (Rhodes na Livingstone) kuwa walikuwa tayari kwenye eno hilo na wasingekuwa chini ya utawala wa wareno; mabadiliko hayo yalikuwa yameliacha eneo lote lile likiwa halina himaya.

Dondoo ya tatu ni kuwa, himaya ya British Central Africa ilipoundwa mwaka 1902, kwa kufuata makubaliano ya Berlin, ilitangaza kuwa eneo la BCA litakuwa ni magharibi na kusini mwa Ziwa Nyasa, na hivyo kuliacha ziwa hilo halina mwenyewe tena.

Dondoo ya nne itatokana na sheria za kimataifa kuhusu maji yaliyoko mipakani baada ya kuonyesha kuwa maji hayo hayana mwenyewe. Wakumbushe tena kuwa yale makubalianao ya kugawana maji hayo kulikofanywa na wareno kule kusini hayajawahi kufanyika upande wa kaskazini kuihusisha Tanzania kwa vile sehemu zote mbili za ziwa zilikuwa zinatawaliwa na mwingereza.

Uingereza kuhamisha mpaka wa Nyasaland kuufanya ukutane na ule wa Tanganyika ilikuwa ni makosa ambayo hayawezi kufuatwa chini ya makubaliano ya OAU, kwa vile Tangayika ilikuwa chini ya League of Nations, na ilitakiwa uingereza iirafu League of Nations kuhusu nia yake ya kuinyima Tanganyika uhuru wa kutumia maji yale lakini hawakufanya hivyo.
 
Wanyasa wasifikiri kuwa tutawacha sehemu ya Tanzania.

Mpaka wa wakoloni wa mwaka 1890 hatuutambuwi tukiutambuwa huo ina maana hata Tanganyika yote ni Zanzibar.
 
kwa mana hiyo kama ziwa Nyasa nimali ya Malawi je Ziwa Tanganyika ni mali ya Watanganyika????
 
tutakiwa kuwa makini sana maana nchi nyingi sasa popote dunia haswa zilizo duni zikiwa na mafuta tu wamagharibi wanaibuka kwa wafadhili hata kwa vita.n oneni Vietnam eti ina taka kupigana na china si aibu laikini USA ipo nyuma ndio maana mchina alikataa na akafanya mazungumzo na Vietnam na nchi zingine zote zilizo kuwa zinapiga kelele kuhusu mipaka na china
 
Kichuguu,

uchambuzi wako makini sana wewe ni great thinker!
 
Last edited by a moderator:
Kichuguu,

nadhan ni vizuri WAKILI WA SERIKALI KWENYE KESI ZA RICHMOND,DOWANS,NA ILE YA PROF MAHALU NDO WATUWAKILISHE
 
Last edited by a moderator:
[h=1]Fear grips Malawians over Tanzania's war threats[/h]
Malawi is known as the Warm Heart of Africa because of its peace and tranquility but the current diplomatic row with her neighbour Tanzania has created panic among its people, particularly those living along the two countries' border.The fear has ensued following media reports quoting Tanzania authorities that they were ready to go to war with Malawi if the country continues with its plans to explore gas and oil on Lake Malawi.

Malawi awarded a contract to UK's Surestream Company last year to conduct an Environmental Impact Assessment (EIA) on the lake which is believed to have oil and gas in abundance. Basing her argument on a common international law which stipulates that when two countries are separated by a body of water, the border is at the middle of that body, Tanzania claims half of the lake belongs to her as such Malawi cannot explore oil on it.


And Malawians living in Karonga and Chitipa, the two border districts with Tanzania, are getting worried with their safety as some are already planning to flee following the war remarks by Tanzania. Tanzania's Minister of Foreign Affairs Bernard Membe this week told his country's Parliament in Dodoma should Malawi not stop its plans to explore oil on the lake they will regard it as an act of aggression.


No panic
But Malawi's Minister of Home Affairs and Internal Security, Uladi Mussa, speaking to Zodiak Broadcasting Station (ZBS) on Tuesday asked the people in the two districts to remain calm assuring them nothing would happen.


"I should assure all the people in this country to remain calm. We are talking to the Tanzanian government and all will be fine. If push comes to shove we will take the matter to International Court of Justice," reported the radio. The minister reaffirmed that the entire lake belongs to Malawi adding that government has evidence to prove its point.


Mussa further said government will not stop exploring oil on the lake as demanded by Tanzania saying "they [Tanzanians] have no powers to do so".


"There is no issue here. We all know the lake belongs to us. In fact if such a claim came from Mozambique at least it would have made sense to some extent but not Tanzania. We have all the evidence and treaties are there to support that Lake Malawi belongs to Malawi," said the Home Affairs Minister.


Malawi arguments


Malawi government argues that the principle being pursued by Tanzania- that the border is along the middle- only applies where there is no treaty but in this scenario the border was clearly and specifically defined in the 1890 Heligoland Treaty. Germany and Britain, colonial masters of Tanzania and Malawi respectively, signed the treaty after the issue- of the border between the two countries- was clearly defined.


In addition, records show that in 1963 Heads of State of Organisation of African Union (OAU) made a resolution that member states should recognize and accept the borders that were inherited at the time of independence. The leaders also made similar resolutions in 2002 and 2007 during the African Union (AU) summits.


However, Malawi Government's decision to extract gas and oil on Lake Malawi has not only touched on the raw nerves of the Tanzanians but many Malawians as well who have argued that the disadvantages of the project far much outweigh the benefits.

Malawi, a former British colony, and Tanzania, once ruled by Germany, are due to hold showdown talks on the disputed border in the northern Malawian town of Mzuzu on August 20.


Fear grips Malawians over Tanzania
 
Mkuu Kichuguu naona umetoa ufafanuzi mzuri sana. Hivi hayo yote uliyoyasema yameandikwa popote? Unaonaje mkuu wewe ukawamo kwenye jopo la wanasheria watakao tuwakilisha? Yaani umempiga bao hata AG wetu kilaza. Kwa ufupi sina imani naye hata kidogo. Naomba wasisite kumjumuisha na Tundu Lissu, Mzee Shivji n.k. Tukiwakilishwa na Werema tu imekula kwetu! Ha ha ha haaaaa!!
 
Kichuguu,

Dah niseme tu kwa haya maoni,umefanikiwa kuvunja hoja zote za wamalawi,pengine serikali itasikia mawazo yako yenye hoja ya msingi sana
 
Last edited by a moderator:
Umilikiwa wa nusu ya ziwa kwa Tanzania hautegemei maamuzi ya mahakama yoyote duniani. Wamalawi wakiamua kwenda mahakani waende lakini msimamo wa Tanzania ni mgao pasu kwa pasu.

Itabidi tufanye utaratibu wa kupoteza hizo nyaraka zao maana kama wataenda nazo na sisi kwenda mikono mitupu what would happen?
 
Mkuu Kichuguu naona umetoa ufafanuzi mzuri sana. Hivi hayo yote uliyoyasema yameandikwa popote? Unaonaje mkuu wewe ukawamo kwenye jopo la wanasheria watakao tuwakilisha? Yaani umempiga bao hata AG wetu kilaza. Kwa ufupi sina imani naye hata kidogo. Naomba wasisite kumjumuisha na Tundu Lissu, Mzee Shivji n.k. Tukiwakilishwa na Werema tu imekula kwetu! Ha ha ha haaaaa!!

Kichunguu anafaa kabisa kwa utetezi na kuiwakilisha tanzania
 
The government has said it will exhaust all diplomatic channels in a border dispute with Malawi over Lake Nyasa, but the country's armed forces will be prepared to step in if diplomacy fails.
 
Back
Top Bottom