Hili ni pigo kwa mabwana wa vita waliokuwa wanasisitiza kwamba tupigane vita. Mgogoro huu utamalizwa kwa diplomasia na tunashukuru Mungu Tanzania imejaaliwa kuwa na wanadiplomasia mahiri. Aliyekuwa anachochea vita sasa apiganishe ng'ombe wake zizini siyo kutaka kuua watu wasio na hatia.