snochet JF-Expert Member Mar 31, 2011 1,407 1,110 Aug 10, 2012 #1 Ndege ilipita angani.Machizi wakaanza kubishana.wa kwanza akasema, "hiyo ndege imembeba rais!"Wapili akasema, "hapana!hiyo ndege imewabeba wazungu.kama ingekua imembeba Rais,ungeona pikipiki zimetangulia mbele!"
Ndege ilipita angani.Machizi wakaanza kubishana.wa kwanza akasema, "hiyo ndege imembeba rais!"Wapili akasema, "hapana!hiyo ndege imewabeba wazungu.kama ingekua imembeba Rais,ungeona pikipiki zimetangulia mbele!"
KML JF-Expert Member Apr 2, 2012 861 133 Aug 11, 2012 #5 sasa unatuletea story za machizi na wewe chizi nini
beyond heaven Member Dec 15, 2011 83 96 Aug 11, 2012 #6 Dingi bahili ! MTOTO: Mama nimemwomba baba hela ya kusuka akaninyoa nywele! MAMA: Una bahati mwanangu ungemwomba hela ya Whitedent angekung'oa meno!
Dingi bahili ! MTOTO: Mama nimemwomba baba hela ya kusuka akaninyoa nywele! MAMA: Una bahati mwanangu ungemwomba hela ya Whitedent angekung'oa meno!