Please tumwagie faida zake ukiwa na mifano hai (vivid examples) ya mikutano iliyoudhuliwa awali.Mkutano wa Dunia wa uchumi mwandishi anasema hauna faida? amma kweli makanjanja wapo wengi.
Acha uongo, ni uchumi ama ameenda kutembeza bakuli?Mkutano wa Dunia wa uchumi mwandishi anasema hauna faida? amma kweli makanjanja wapo wengi.
mgodi wa nzega unatoa dhahabu ya bil 130 kila wiki tunashindwa hata kutoa machungu ya kula nyasi?
iptl tunawanunulia mafuta mazito ta mil 120 kila siku tunashindwa kulipa kweli?
r.i.p ccm.
Waandishi wetu wa habari noma, kwanza sioDavous ni Davos na muhimu zaidi haipo Sweden ipo Switzerland. Yaani mambo ya kugoogle kwa dakika mbili yanawashinda.