Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
=TAMUCHUNGU;3201487]hakuna shirika la ndege hapa duniani linaloitwa QATAL,wala hakuna waziri anayeitwa NDUNDU.
Halafu hii habari ni ya kiumbea kwa sababu hili gazeti halijui hiyo ndege iko nchi gani zaidi ya kuzusha nje ya nchi.gazeti makini haliwezi kuandika udaku kama lilivofanya hili.wajinga ndio waliwao.
NIKISOMA MSG YAKO JUU NA KUSOMA TAARIFA YA HAPO CHINI NAONA KAMA WEWE NDIE MJINGA ZAIDI NA MMBEYA ZAIDI TENA SIKU NYINGINE WAKIKUTUMA CHOMOA JF NOMA ITAKULA KWAKO MPWA
Halafu hii habari ni ya kiumbea kwa sababu hili gazeti halijui hiyo ndege iko nchi gani zaidi ya kuzusha nje ya nchi
halafu wewe wewe unasapoti kwa KING
Waandishi wetu wa habari noma, kwanza sio
Davous ni Davos na muhimu zaidi haipo Sweden ipo Switzerland. Yaani mambo ya kugoogle kwa dakika mbili yanawashinda.
kama ulikuwepo mkuu,hawa jamaa wababaishaji kweli,hata shirika la ndege eti wanaandika QATAL,Waziri NDUNDU mara nje ya nchi,afazali nawe umeliona hilo...Ndo matatizo ya copy and paste kaka
tamuchungu
kama ulikuwepo mkuu,hawa jamaa wababaishaji kweli,hata shirika la ndege eti wanaandika QATAL,Waziri NDUNDU mara nje ya nchi,afazali nawe umeliona hilo...Ndo matatizo ya copy and paste kaka.
teeeheeeteeehhhhh
EMBU NINUKUU