William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Soon rais atakwenda US kutembea na baadaye atarudi tena huko huko kwa GA!
Soon rais atakwenda US kutembea na baadaye atarudi tena huko huko kwa GA!
Mimi ndio ilibidi niulze lakn sikupata jibu.......hiyo ndege ilikuwa imepaki wapi? barabarani au kwenye maegesho ya magari au ilikuwa inaaktiza samora avenue?.......yaani utata m2puHii, imekaaje tena??? Gari limegonga ndege???Yaani nimeshindwa kuelewa kabisa.
Mimi ndio ilibidi niulze lakn sikupata jibu.......hiyo ndege ilikuwa imepaki wapi? barabarani au kwenye maegesho ya magari au ilikuwa inaaktiza samora avenue?.......yaani utata m2pu
Nina wasiwasi na hiyo fact yako bwana Mkubwa Mushi kwa sababu taarifa zilizopo ni kuwa ndege hii haiwezi kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma. Ilielezwa ilipofika kuwa ina uwezo wa kutua kwenye viwanja vitano tu Tanzania namely; Mwalimu Julius Nyerere (Dar), KIA, Zanzibar, Mtwara na Mwanza.
Huko Dodoma ilifikaje na kutuaje ili kumpa lift Ballali?
THis can happen only in Tanzania. Ama kweli, hatuishi vituko. Ni gari la usalama tena kutoka Ikulu, ndilo liliigonga hiyo ndege ikiwa imepaki kwenye hangar. Sijui walifuata nini karibu na ndege hiyo ambayo haitumiki
kwa sasa ndege ya rais wetu imepaki uwanja wa Mw nyerere terminal one.
kuhusu kufanya kazi au kutokutokufanya hiyo ni issu nyingine kwasababu kila safari anatumi emirates.
Naomba unijibu swali langu la msingi maana naona kuna watu credible ambao hawakubaliani na mimi kuwa alipewa lifti huyo Ballali.
Sasa kwani Rais ana ndege ngapi?