Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
et wana janvi ile ndega ya rais iliyo tucost 40bil bado ipo au imeuzwa na kama ipo mbona haitumiki...na kama haitumiki kwanini tusipige bei..na hiyo pesa tuwape wanafunzi walio kosa mkopo vioni
et wana janvi ile ndega ya rais iliyo tucost 40bil bado ipo au imeuzwa na kama ipo mbona haitumiki...na kama haitumiki kwanini tusipige bei..na hiyo pesa tuwape wanafunzi walio kosa mkopo vioni
Wana wa Rombo walikula nyasi ili ndege ya Rais inunuliwe kwa hiyo ipo.et wana janvi ile ndega ya rais iliyo tucost 40bil bado ipo au imeuzwa na kama ipo mbona haitumiki...na kama haitumiki kwanini tusipige bei..na hiyo pesa tuwape wanafunzi walio kosa mkopo vioni
Ndege ipo na ndiyo anayoitumia kwenye safari zake.
et wana janvi ile ndega ya rais iliyo tucost 40bil bado ipo au imeuzwa na kama ipo mbona haitumiki...na kama haitumiki kwanini tusipige bei..na hiyo pesa tuwape wanafunzi walio kosa mkopo vioni
hivi ile ndege huwa haipati ajari?
tatizo hata hao ATC mimi sina imani nao kabisa, yaani watu wanafikiria madili tu - tutasonga kweli nchi hii?ATC waziombe hizo ndege, ziwe kwa mnafaa ya umma.
Hata mimi najiuliza swali hilo kila siku.hivi ile ndege huwa haipati ajari?