Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,517
- 8,582
Ina maana ndege ya precision kutua Mbeya imekuwa kama ujio wa papa Benedicto kwa wana Mbeya mpaka wakusanyane hivo,inekuwa Mwanza kila ikitua wanakusanyika hivo na kucheza ngoma mbona kazi zingekuwa hazifanyiki,mbona ile ya rais ilitua lakini hatukuona shamrashamra kama za leo
Hiyo ndio ndege ya kwanza ya abiria ..schedule flight Kutua mbeya ni ni formalities kusherekea wakati wa kuzindua routes...hata hapa DAR ndege zikizundua routes ni lazima kuwe na sherehe...
Hataki wana wa mbeya wajimwagee...