Ndege ya precision air yatua uwanja wa kimataifa wa songwe mbeya ni safari yake ya kwanza,yapokelewa

Vichekesho hivi.........ndege ya kibiashara inatua watu mnatoka maofisini kwenda kuichezea ngoma?
Wakati Scandinavia ilipoanza safari kwenda mbeya mbona hamkuichezea ngoma pia.

Bado sana - hayo matumizi ya fedha hapo nani amelipia?
Au ndo zile fedha kutangaza maendeleo ya CCM??

BADO SANAAAA!!!
Miafrica tunapenda kufanya mambo ya hovyohovyo tu!

Hii ni nini sasa....
IMG-20130116-WA0034.jpg

Acha ufala wewe,kwani maendeleo lazima yaletwe na serikali tuu?ni jambo la kufurahia kuona private citizen anafanikiwa na wanachi wanapata usafiri,wananchi wanachotaka ni usafiri tuu wa kuaminika mambo ya ownership sio issue,acheni mawazo ya 1947 and FYI mashirika mengi duniani ni ya watu binafsi na hata nchia kama america yenye mashirika zaidi ya 100 yote ni ya binafsi na serikali haina hata moja moja
 
Acha ufala wewe,kwani maendeleo lazima yaletwe na serikali tuu?ni jambo la kufurahia kuona private citizen anafanikiwa na wanachi wanapata usafiri,wananchi wanachotaka ni usafiri tuu wa kuaminika mambo ya ownership sio issue,acheni mawazo ya 1947 and FYI mashirika mengi duniani ni ya watu binafsi na hata nchia kama america yenye mashirika zaidi ya 100 yote ni ya binafsi na serikali haina hata moja moja

Kwenu Morogoro kuna kiwanja cha ndege?
 
Wee b-wege ulishaondolewa BAN? maana ulizidi kusumbua wananchi humu,morogoro hatuhitaji airport tuna bahari ya mindu inatosha

Mkeo tipwatipwa wa kizungu ndo alinipa hiyo ban? We hadi leo kijani hujapata...tatizo lako nini wewe?
 
nngu007 kinachoshangiliwa hapa ni ufunguzi wa uwanja kwa maana ya ndege ya kwanza kutua Songwe au ni shere ya PrecisionAir kuanza Safari zake za Mbeya? Sijaelewa
 
Last edited by a moderator:
Vichekesho hivi.........ndege ya kibiashara inatua watu mnatoka maofisini kwenda kuichezea ngoma?
Wakati Scandinavia ilipoanza safari kwenda mbeya mbona hamkuichezea ngoma pia.

Bado sana - hayo matumizi ya fedha hapo nani amelipia?
Au ndo zile fedha kutangaza maendeleo ya CCM??

BADO SANAAAA!!!
Miafrica tunapenda kufanya mambo ya hovyohovyo tu!

Hii ni nini sasa....
IMG-20130116-WA0034.jpg


Sie tuliokuwa tunalazimika kusafiri kwa masaa 10 kufika Mbeya toka Dar tunajua umuhimu wa kuanza rasmi kwa safari hizi Mbeya.



Sie tuliokuwa tunalazimika kutumia USD 290 karibu 415,000 one way kwa kufika Mbeya kwa FlyLink au Auric tunajua umuhimu wa kuanza kwa safari hizi za leo kwa Tsh 165,000.



Wananchi wa Mbeya walisubiri kwa muda mrefu sana kuifikia siku ya leo,wana haki ya kushangilia na sie tulio mbali lakini tutanufaika kwa hili tunafurahi pamoja nao.
 
nimeshangaa pia precision air kupokelewa kitaifa as if ni national airline duh!! - nguvu ya pesa!!

Chombo chochote chenye domicile ya Tanzania ni cha watanzania.....mbona emirates ikipokewa hamsemi....Precission ya watanzania ..imesajiliwa DSE bado Watu wanachukii
 
Sie tuliokuwa tunalazimika kusafiri kwa masaa 10 kufika Mbeya toka Dar tunajua umuhimu wa kuanza rasmi kwa safari hizi Mbeya.



Sie tuliokuwa tunalazimika kutumia USD 290 karibu 415,000 one way kwa kufika Mbeya kwa FlyLink au Auric tunajua umuhimu wa kuanza kwa safari hizi za leo kwa Tsh 165,000.



Wananchi wa Mbeya walisubiri kwa muda mrefu sana kuifikia siku ya leo,wana haki ya kushangilia na sie tulio mbali lakini tutanufaika kwa hili tunafurahi pamoja nao.

...thanks man lakini sijui hata kama wanakuelewa,wanalia maendeleo lakini yakija hawaoni mpaka yawe yako owned na united republic.
 
kwakweli nimefarijika saaana na nimefurahi saana mbeya kuwa na uwanja wa kimataifa wenye uwezo wa kupokea ndege ya AINA YOYOTE DUNIANI, ingawaje kwetu sio Mbeaya wala sijwahi fika mbeya lakini nimependa sana hatua hii muhumi na natumaini soon nitaweza kusafiri kwenda mbeya, bila shaka FAST JET nao watakuwa wanakuna vichwa juu ya meza waanzishe route hii ya kwenda SONGWE INTERNATIONAL AIRPORT (S.I.A), I love Songwe, i love Tanzania , God bless Africa.
 
nngu007 kinachoshangiliwa hapa ni ufunguzi wa uwanja kwa maana ya ndege ya kwanza kutua Songwe au ni shere ya PrecisionAir kuanza Safari zake za Mbeya? Sijaelewa

Ndege ya KWANZA kwa SAFARI za ABIRIA kuanza kwenye HUO UWANJA MPYA... Kuna NDEGE zilikuwa zinatua lakini sio KUBWA za kubebe abiria WENGI...
 
Vichekesho hivi.........ndege ya kibiashara inatua watu mnatoka maofisini kwenda kuichezea ngoma?
Wakati Scandinavia ilipoanza safari kwenda mbeya mbona hamkuichezea ngoma pia.

Bado sana - hayo matumizi ya fedha hapo nani amelipia?
Au ndo zile fedha kutangaza maendeleo ya CCM??

BADO SANAAAA!!!
Miafrica tunapenda kufanya mambo ya hovyohovyo tu!

Hii ni nini sasa....
IMG-20130116-WA0034.jpg

Inategemea imetua saa ngapi, so kwavili ni ndege ya biashara ulitaka watu wasisherkee!! pia unacompare na scandnavia...sasa hapo si inategemea na mapenzi ya watu, nafikri hujui maana ya maendeleo
 
...thanks man lakini sijui hata kama wanakuelewa,wanalia maendeleo lakini yakija hawaoni mpaka yawe yako owned na united republic.

...Unajua kuna watu wengine ni ma-haters mpaka wanakera,tuna tabu kweli.....
 
Kwa suala la gharama msihofu maana gharama ni juu ya Precision they wanted more publicity
alafu kwa SIA hii ni ndege ya kwanza kubwa ya abiria kutua apo leave alone ile ya jeshi ambayo nayo ilituaga apo kumpa bit mama yetu kule Malawi
Big up Mwandosya na Mwakyembe for the job well done
karibuni ATCL na fastjet
 
Ina maana ndege ya precision kutua Mbeya imekuwa kama ujio wa papa Benedicto kwa wana Mbeya mpaka wakusanyane hivo,inekuwa Mwanza kila ikitua wanakusanyika hivo na kucheza ngoma mbona kazi zingekuwa hazifanyiki,mbona ile ya rais ilitua lakini hatukuona shamrashamra kama za leo
 
Back
Top Bottom