mugongo, mtani you are late for the whole week! wenzio walishaingalia waliocheka walishacheka, na walionuna walishanuna. Na sidhani kikatuni peke yake ndiyo kiliwafanya wajibu. Hivi katika majibu yao uliona jina la M. Saidi au reference yoyote ya kikatuni? PMO walikuwa wanajibu mimi na Allan.
Jamani EL kasoma Udsm? Fikiraduni na Mkumbo naomba majibu yenu.
Mbowe wa Chadema.
Mugongo2
You are a real spin doctor. CCM could really use you!
Thanks for 411 Mzee Mwanakijiji. Kumbe kilichowakasirisha sio content ya article (I am not surprised because it was really shallow), bali ni a funny cartoon. I will print this out and ask folks at PMO kama ni kweli an innocent cartoon, which we see everyday here, is what prompted them to respond to you.
Mugongo2
You are a real spin doctor. CCM could really use you!