Jamani EL kasoma Udsm? Fikiraduni na Mkumbo naomba majibu yenu.
Guess who is the pilot..?
Dada angu nakubali. lakini kuna Helikopta ya Mbowe nayo. kuna ile picha ya Muhonga kwenye Helikopta akiwa na kandambili unasemaje?wrong thread mister! hapa kinajadiliwa "kupaa kwa ndege ya Lowassa". So this thread is not reachable.