Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Kweli biashara ya ndege ni ukichaa, hapo mwanzoni iikuwa tumezoea ATCL, Precission watu wanaongea kweli lakini habari zilizotufikia hapa ni kwamba ile ndege ya KLM inayofanya safari za Dar imeshindwa kuruka toka majuzi huku abiria wakidanganywa spare inakuja,
Nikiongea na mmoja wa abiria aliepelekwa hotel ya Lamada anasema "Hawa jamaa ni wahuni sana wametuweka hapa hotelini toka majuzi na kibaya zaidi leo hii wametuchukua mpaka airport na kutufanyia mnaita checking mwisho wanasema tukapande gari la kuturudisha hotelini. Iweje wanawaleta abiria bila hata kujua imepona au lah? Lazima kuna walakini hapa..."
Kwanza napenda kuwapa poleni sana abiria wote pamoja na kuendelea kukaa hotelini na kwenda chooni na kurudi hilo tu swala la kushukuru ulizeni ndugu zenu wa precission ama "AIRTIME CHANGE" swala ni kwamba hiyo ndege imetengenezwa na mikono ya wanadamu so kuweni wapole tu hiyo kuja kurudi mtakwenda sana na kurudi...
Nikiongea na mmoja wa abiria aliepelekwa hotel ya Lamada anasema "Hawa jamaa ni wahuni sana wametuweka hapa hotelini toka majuzi na kibaya zaidi leo hii wametuchukua mpaka airport na kutufanyia mnaita checking mwisho wanasema tukapande gari la kuturudisha hotelini. Iweje wanawaleta abiria bila hata kujua imepona au lah? Lazima kuna walakini hapa..."
Kwanza napenda kuwapa poleni sana abiria wote pamoja na kuendelea kukaa hotelini na kwenda chooni na kurudi hilo tu swala la kushukuru ulizeni ndugu zenu wa precission ama "AIRTIME CHANGE" swala ni kwamba hiyo ndege imetengenezwa na mikono ya wanadamu so kuweni wapole tu hiyo kuja kurudi mtakwenda sana na kurudi...