Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
habari zilizotufikia punde dege la airtanzania limerudi mwanza muda mfupi baada ya kuruka...tatizo halisi alijaelezwa na hakuna anaekuwa tayari kuelezea usiku huu wamanane hapa mwanza ila muda si mrefu ndugu yangu aliekuwa abiria ataniabalisha zaidi
habari zaidi za kuhuzunisha ndege nyingine iliobaki nayo mbofu toka majuzi wakibaki na ndege moja......hili shirika hata aje malaika wa mbinguni sijui kama lina muelekeo
habari zaidi za kuhuzunisha ndege nyingine iliobaki nayo mbofu toka majuzi wakibaki na ndege moja......hili shirika hata aje malaika wa mbinguni sijui kama lina muelekeo