Ndege ya ATCL yarudi Mwanza baada ya kuruka!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
habari zilizotufikia punde dege la airtanzania limerudi mwanza muda mfupi baada ya kuruka...tatizo halisi alijaelezwa na hakuna anaekuwa tayari kuelezea usiku huu wamanane hapa mwanza ila muda si mrefu ndugu yangu aliekuwa abiria ataniabalisha zaidi
habari zaidi za kuhuzunisha ndege nyingine iliobaki nayo mbofu toka majuzi wakibaki na ndege moja......hili shirika hata aje malaika wa mbinguni sijui kama lina muelekeo
 
habari zilizotufikia punde dege la airtanzania limerudi mwanza muda mfupi baada ya kuruka...tatizo halisi alijaelezwa na hakuna anaekuwa tayari kuelezea usiku huu wamanane hapa mwanza ila muda si mrefu ndugu yangu aliekuwa abiria ataniabalisha zaidi
habari zaidi za kuhuzunisha ndege nyingine iliobaki nayo mbofu toka majuzi wakibaki na ndege moja......hili shirika hata aje malaika wa mbinguni sijui kama lina muelekeo

jamani jamani...pole kwa niaba ya ndugu yako..nikikumbuka air france sina hamu kabisa na ATC...hao naona watafuet bail out tu ya JK au hajatamka alipokuwa anahutubia wazee leo?
 
Nawapongeza pilot and crew member kwa kugundua tatizo na kugeuza njia...
 
waziri mwenyewe alishakiri kuwa NDEGE ZA ATC ni mbovu na bado zinaruka tuuu sasa mnashangaa nini?
 
Naungana na mdau aliyewapa pongezi Marubani kwa kundua dosari na kurudisha ndege Mwanza. Ila nawashangaa wale wanaolaum maana labda walitaka aende hivyo hivyo mpaka mwisho wa safari. Jamani ndege siyo Air Msae, ukigundua kasoro mpaka engineer akubali iende Certification vinginevyo hairuki.
Ningependa wale wasafari wanaopenda kufika haraka katika mambo ya ndege haiendi hivyo ukitaka haraka unakimbilia kuzimu.
 
Naungana na mdau aliyewapa pongezi Marubani kwa kundua dosari na kurudisha ndege Mwanza. Ila nawashangaa wale wanaolaum maana labda walitaka aende hivyo hivyo mpaka mwisho wa safari. Jamani ndege siyo Air Msae, ukigundua kasoro mpaka engineer akubali iende Certification vinginevyo hairuki.
Ningependa wale wasafari wanaopenda kufika haraka katika mambo ya ndege haiendi hivyo ukitaka haraka unakimbilia kuzimu.

Tishe hakuna anayelaumu rubani na wasaidizi wake hapa, I suppose hukusoma vizuri comments zao. Wanacholaumu wao ni serikali na uongozi wa ATC. Haiingii akilini kwamba waziri amekiri ndege za ATC ni mbovu na still zinaendelea kuruka. Hii kweli ni nchi ya miujiza. Hivi ikiua watu tutashangaa wakati tumekwsihakiri kwamba ndege ni mbovu? Ama kweli hii ndio Tanzania, mambo yake kuyaona kwingine ni nadra sana.
 
:(Tataizo la ATCL linatokana na serikali kutokuwa na political will ya kulifufua shirika hilo ili liwe competitive, hasa tangu awali kuachwa mianya iliyowafanya hata akina Mramba huku akiwa na waziri wa fedha, kuwa na hisa katika shirika pinzani la precission air...unatarajia nini si kama dhamira ni kuiua ATCL ili Precission itwae soko la ndani na nje!!.
 
Taarifa niliyoipata ni kwamba ndege iliporuka ilionesha "engine oil pressure" iko low na msukumo wa engine pia uko low. Taratibu za uendeshaji wa ndege zinamtaka rubani azime engine na kutua katika kiwanja kilichopo karibu. Hivyo ndivyo alivyofanya rubani.

Mafundi walisafiri jana kwenda Mwanza kuangalia tatizo ni nini. Kwa mujibu taratibu za kiufundi katika tukio kama hilo mafundi wanatakiwa kwanza kuangalia engine oil. Engine oil ilikuwepo ya kutosha.Leo wtaendelea na uchunguzi wa kina kubaini tatizo ikiwa ni pamoja na kufugua oil pump na kuzungusha engine manually ili kuona kama tatizo ni fuel pump – hiyo ndio hatua ya pili kwa mujibu wa maelekezo ya kiufundi.Ndege nyingine ni nzima na inafanya kazi kama kawaida.

 
Taarifa niliyoipata ni kwamba ndege iliporuka ilionesha “engine oil pressure” iko low na msukumo wa engine pia uko low. Taratibu za uendeshaji wa ndege zinamtaka rubani azime engine na kutua katika kiwanja kilichopo karibu. Hivyo ndivyo alivyofanya rubani.

Mafundi walisafiri jana kwenda Mwanza kuangalia tatizo ni nini. Kwa mujibu taratibu za kiufundi katika tukio kama hilo mafundi wanatakiwa kwanza kuangalia engine oil. Engine oil ilikuwepo ya kutosha.Leo wtaendelea na uchunguzi wa kina kubaini tatizo ikiwa ni pamoja na kufugua oil pump na kuzungusha engine manually ili kuona kama tatizo ni fuel pump – hiyo ndio hatua ya pili kwa mujibu wa maelekezo ya kiufundi.Ndege nyingine ni nzima na inafanya kazi kama kawaida.

He!!! yaani ndege bado iko mwanza??????????? Yesu rua!!
 
habari zilizotufikia punde dege la airtanzania limerudi mwanza muda mfupi baada ya kuruka...tatizo halisi alijaelezwa na hakuna anaekuwa tayari kuelezea usiku huu wamanane hapa mwanza ila muda si mrefu ndugu yangu aliekuwa abiria ataniabalisha zaidi
habari zaidi za kuhuzunisha ndege nyingine iliobaki nayo mbofu toka majuzi wakibaki na ndege moja......hili shirika hata aje malaika wa mbinguni sijui kama lina muelekeo

halafu huyo huyo ambae ulimueka hapo mkatuambia amakuja kufufua shirika na badala yake ndio kalimalizia unaena kumpa TIB....sijui tunaenda wapi
 
Back
Top Bottom