Ndege ya ATCL Yapata Kizaazaa Mwanza

Kwanini unakosa uzalendo na ndege zetu? Kwani viongozi wetu si wanapanda ATCL? Mungu awe nawe katika safari yako.

Ndugu yangu, mbona nina uzalendo mwingi tu, wiki juzi nimesafiri na ATCL toka Dar to Mwanza na siku tatu baadaye kurudi Dar licha ya kwamba mwaka jana waliniudhi walipoteza ndoo yangu ya samaki. Kuhusu viongozi wetu wengi hawapandi zile ATCL ndogondogo, wanapanda Boeing tu. Hata nao mbona huwa wanapanda Precicion ATR 72, wanaipenda utafikiri yao! Hapa nilipo Precision wamenipa room kwenye hotel moja hapa Rock City, dalili ni kuwa leo sitaondoka hapa! Namwamini Mungu, ila ungeshuhudia hiyo hekaheka iliyoipata hiyo ATCL kama huna ujasiri na/au huna majukumu ya kusafiri huko na huku usingependa kusafiri na ndege tena, yaani imeserereka, ikayumba, ikachupa na kusave!!! Jamani wana JF naona nikilala hapa sitasinzia nikiwaza safari ya kesho na ATR 45 or 72. Mbona nina imani kubwa tu, na kesho naamini nafika Dar salama wa salimini. Amen
 
Jamani mi naona kila mtu anilaumu ATCL hapa kitu ninachodhani kuwa si sawa ingawa shirika letu hili lina mabovu kibao tu. Habari zinasema kuwa chanzo ni mvua zinazonyesha. Kutokana hali ya uwanja kuna sehemu maji mengi yalituama ama kwa lugha nyingine ni kuwa kulikuwa na dimbwi kubwa la maji ktk runway.

Kwahiyo ndege ilipotua na ikaganyaka hilo dinbwi na maji yake kurukia engine moja ikazima na kusababisha ndege kwenda upande na kuacha njia ikaingia ktk nyasi huku sehemu nyingine ikiwa bado uwanjani na kublock ndege kubwa kutua.

Hence mi naona chanzo cha kwanza kulaumiwa ni mamlaka ya viwanja vya ndege kwa ile leveling ya uwanja.

Wakati mwengine sipati picha Tz tungekuwa na snow si tungekufa na ajali za ndege? Au ndege zisingekuwa zinasafiri kabisa kwetu kwani kama nchi kama UK wanalalamika ba gahrama ya GRIT sisi tungeweza kweli? MUNGU huwa anaangalia kweli waja wake
 
Hivi
ni nani anaiendesha nchi hii? maana kila sekta ni uozo halafu hakuna wa kuwajibika.

Lakini kwa kuwa wameamua kuiweka nchi ktk mikono ya wapiga ramli (shekhe yahaya) basi haya ndo matokeo yake. na kafara nyingi bado maana shetani hupewa sadaka ya damu za watu.
 
Mungu ni mkubwa! Mimi ni muoga sana wa kupanda ndege... Mara kwa mara huwa naangalia kipindi cha "second from disaster" cha National geographic channel. Acheni tu abiria wa ATC waliokuwepo katika ndege iliyopata ajali watafikiri mara 2 kupanda ndege tena...

Denni Bergkamp atapata wafuasi!!!!
 
Halafu mods tunaomba mturekebishie hizo picha manake mpaka zinapitiliza size ya screen yangu du utadhani ndege yenyewe ndo imetua ktk ka'lap kangu lol
 
Kwahiyo ndege ilipotua na ikaganyaka hilo dinbwi na maji yake kurukia engine moja ikazima na kusababisha ndege kwenda upande na kuacha njia ikaingia ktk nyasi huku sehemu nyingine ikiwa bado uwanjani na kublock ndege kubwa kutua.

DELETE HIYO HIGHLIGHTED KABLA YA TCAA AWAJA JA NA KUKUADHIBU AKUNA KITU KAMA HICHO INJIN KUZIMA NA KUIAMISHA NDEGE...ALIINGIA DIMBWINI AKAKOSA CONTRL,LABDA KINGINE KUNA KIFAA CHA KU PRESS KAMA HALI NI YA MAJI MAJI WALIPO PRESS NGOMA IKAKAATAA HIKI HATA KUWE NA DIMBWI KAMA KULE KWETU BONYOKWA AILETI MADHARA SO HAPA SHUGULI NI UWANJA NA ATCL ENGINEERS WAZEMBE WANAACHA KUTENGENEZA NA KUISHIA KULALA NA WAFANYAKAZ WA USAFI

KAZI WANAYO
 
Dhoruba ya ATC katika picha
 

Attachments

  • atc01.JPG
    atc01.JPG
    292.2 KB · Views: 104
  • atc02.JPG
    atc02.JPG
    190.1 KB · Views: 92
  • atc03.JPG
    atc03.JPG
    111.6 KB · Views: 84
  • atc04.JPG
    atc04.JPG
    257.3 KB · Views: 88
hii mi-thread mingine nayo inavyojirudiarudia kha!

Hata mimi nimechoka na huku kurudiwa rudiwa habari kupitia thread mbalimbali. Picha hizi ziko kwenye thread iliyotangulia JF mapema. Moderator ebu angalia uwezekano wa kufuta hii kitu!!!
 
Hata mimi nimechoka na huku kurudiwa rudiwa habari kupitia thread mbalimbali. Picha hizi ziko kwenye thread iliyotangulia JF mapema. Moderator ebu angalia uwezekano wa kufuta hii kitu!!!
Sema wewe nikisema mie naonekana mkorofi!
 
Kwahiyo ndege ilipotua na ikaganyaka hilo dinbwi na maji yake kurukia engine moja ikazima na kusababisha ndege kwenda upande na kuacha njia ikaingia ktk nyasi huku sehemu nyingine ikiwa bado uwanjani na kublock ndege kubwa kutua.

DELETE HIYO HIGHLIGHTED KABLA YA TCAA AWAJA JA NA KUKUADHIBU AKUNA KITU KAMA HICHO INJIN KUZIMA NA KUIAMISHA NDEGE...ALIINGIA DIMBWINI AKAKOSA CONTRL,LABDA KINGINE KUNA KIFAA CHA KU PRESS KAMA HALI NI YA MAJI MAJI WALIPO PRESS NGOMA IKAKAATAA HIKI HATA KUWE NA DIMBWI KAMA KULE KWETU BONYOKWA AILETI MADHARA SO HAPA SHUGULI NI UWANJA NA ATCL ENGINEERS WAZEMBE WANAACHA KUTENGENEZA NA KUISHIA KULALA NA WAFANYAKAZ WA USAFI

KAZI WANAYO

Mkuu, nakubaliana na wewe. Kwanza lazima uwanjani kuwe na drainage system nzuri sana. Pia Mwanza uwanja wa ndege uko karibu na Ziwa kwa hiyo kuyapeleka maji ziwani sidhani kama ni shida sana na kuzuia maji yasiingie kwa kuweka Udongo ili kidogo kiwe juu (FILL), nafikiri ni kazi rahisi.

Nashukuru hakuna waliopoteza maisha. Nina imani hii itakuwa ni sababu tosha KULIUWA hili shirika. Heri life kuliko linavyotumika sasa kuibia tu nchi pesa. Labda kuna siku itafika tuwe na Rais imara atakayekuwa tayari kulianzisha hili shirika upya na kuliuza kwa wazawa wenyewe waliendeshe huku serikali ikiwa na asilimia chache tu kwa ajili ya Control ila hawawezi kuweka watu wao...
 
Thanks Ndibalema,

Nadhani tope limesaidia sana kusitokee friction ambayo ingesababisha ndege kuripuka
 
Kwahiyo ndege ilipotua na ikaganyaka hilo dinbwi na maji yake kurukia engine moja ikazima na kusababisha ndege kwenda upande na kuacha njia ikaingia ktk nyasi huku sehemu nyingine ikiwa bado uwanjani na kublock ndege kubwa kutua.

DELETE HIYO HIGHLIGHTED KABLA YA TCAA AWAJA JA NA KUKUADHIBU AKUNA KITU KAMA HICHO INJIN KUZIMA NA KUIAMISHA NDEGE...ALIINGIA DIMBWINI AKAKOSA CONTRL,LABDA KINGINE KUNA KIFAA CHA KU PRESS KAMA HALI NI YA MAJI MAJI WALIPO PRESS NGOMA IKAKAATAA HIKI HATA KUWE NA DIMBWI KAMA KULE KWETU BONYOKWA AILETI MADHARA SO HAPA SHUGULI NI UWANJA NA ATCL ENGINEERS WAZEMBE WANAACHA KUTENGENEZA NA KUISHIA KULALA NA WAFANYAKAZ WA USAFI

KAZI WANAYO

Mkuu unamshambulia mwenzako kumbe na wewe hujui. Maji yaliyotuama kwenye runway hayatakiwi kutuama hapo ndo maana lazima TCAA walaumiwe kwa nini maji yatuame kwenye runway?

Rubani alitua vizuri tatizo ni maji mengi kutuama kwenye run way na hiyo imesababisha breki kufail. Na ni kweli kwamba maji mengi yakiingia kwenye injini lazima itazimika.
 
Inauma saana inauma saaana the ONLY BOENG 737 inauma saaana sijui ni balaa gani ili tena jamani dege hilo ni la gharama kinoma.
sijui tuna nuksi gani au tuna yona humu ndani ya safina?
 
Natumai ATC watakuwa na bima nzuri tu maana hilo lidege sijui litagharimu kiasi gani kulitengeneza.
 
Kichwa cha habari ni potofu. Ndege ilikuwa inatua maji yakaingia kwenye injini ikazima na ndege (B737-200) ikaserereka nje ya runway na nose gear ikaharibika. Huko sio kuanguka. Hakuna majeruhi.

Mmh! hiyo ndege ina jet engine haiwezi kuzima ma vimvua vya mwanza, wanasema iliteleza wakati inatua ikaacha runaway na tairi ya mbele kung'oka.
 
Kwahiyo ndege ilipotua na ikaganyaka hilo dinbwi na maji yake kurukia engine moja ikazima na kusababisha ndege kwenda upande na kuacha njia ikaingia ktk nyasi huku sehemu nyingine ikiwa bado uwanjani na kublock ndege kubwa kutua.

DELETE HIYO HIGHLIGHTED KABLA YA TCAA AWAJA JA NA KUKUADHIBU AKUNA KITU KAMA HICHO INJIN KUZIMA NA KUIAMISHA NDEGE...ALIINGIA DIMBWINI AKAKOSA CONTRL,LABDA KINGINE KUNA KIFAA CHA KU PRESS KAMA HALI NI YA MAJI MAJI WALIPO PRESS NGOMA IKAKAATAA HIKI HATA KUWE NA DIMBWI KAMA KULE KWETU BONYOKWA AILETI MADHARA SO HAPA SHUGULI NI UWANJA NA ATCL ENGINEERS WAZEMBE WANAACHA KUTENGENEZA NA KUISHIA KULALA NA WAFANYAKAZ WA USAFI

KAZI WANAYO

Sijui unapingana au unakubaliana nami. Hao TCCA wanatakiwa kulaumiwa kwa kuwepo kwa hilo dimbwi ktk runway. Kuwepo kwa hicho kifaa cha kubonyeza hakujustify wala haimaaniishi viwanja viwe na madimbwi.
 
Ingekuwa ni sehemu kama Heathrow hivi jamaa rubani angeitwa ni HERO
 
Sijui unapingana au unakubaliana nami. Hao TCCA wanatakiwa kulaumiwa kwa kuwepo kwa hilo dimbwi ktk runway. Kuwepo kwa hicho kifaa cha kubonyeza hakujustify wala haimaaniishi viwanja viwe na madimbwi.

ray B
niko na wewe kwenye swala la madimbwi na hii si mwanza kaka nenda
kia,ark mvua ikinyesha utajua nini Tcaa WANAFANYA PALE IPS
nilicho kukatalia ni swala la maji kuingia kwenye ingine na ndege kugeuka hilo alipo labda nipe muda nikuletee sifa za jet ya B737/200...hakuna mvua inayoweza kuzimisha hiyo engine,...hiyo ndege imeruka kongo/zimbabwe kipindi mvua balaa aikuzimika,..so kwenye uwanja tuko pamoja kabisa,..swala la kutoka kwenye runway ni kawaida,..kwanza napenda kueleza runway ya mwanza ni ndogo sana ukifianya mchezo mnacheza na maji kabla amja take off,..so muhimu si tu kurekebisha na pamoja kuongezwa ukubwa wa uwanja hilo muhimu zaidi,...kesho amna mvua utasikia ndege imeanguka kwa kushindwa kupaa,..hilo nalo ni tatizo.....
TCAA wanaitajika kufwatiliwa sana sasa hivi imekuwa taasisi ya mama ya takukuru,..wana malengo mazuri wakifika hata ndege mbovu ikionyeshwa chapaa wanasaini na mambo yanaenda mbele,...tuna kazi kubwa
 
Back
Top Bottom