Ndege ya ATCL Yapata Kizaazaa Mwanza

Ni kweli Pakajimmy na katika ndege hiyo aliwepo kakaangu hii ndo Coment yake

Thanx to god watu wote wamenusurika sasa tungekuwa tunaongea mengine ..
FL1,
Really we should keep praying at all times.
Poleni sana shem langu, niwasilishie salamu zangu kwa bro!
 
Nimepata taarifa kwamba ndege ya ATCL imeteleza na kuziba njia ya kutua/kurukia Mwanza. Kwa hili, hakuna ndege inayoweza kutua Mwanza. Mwenye details zaidi anaweza kuweka hapa.
 
Air worthness ya ndege za ATC ni muhimu ikaangaliwa kabla ya janga kubwa zaidi kutokea. Kuna uwezekano kuwa wanalazimishia tu ziruke kwa vile bila ya hivyo shirika itabidi lifungwe chini ya JK. Kitu ambacho bila ya shaka hakitaki kabla ya uchaguzi.
 
Ni kweli imeteleza karibu na mwisho wa barabara ya kutulia ukitokea ziwani Victoria, hakuna aliyeumiawala kufa, matairi ya mbele yameingia kwa ndani.. Ila ndege zenye ukubwa wa ATR kurudi chini zinaweza kutua na kunyanyuka bila tatizo.
 
Tunasubiri mpaka ndege za ATCL zilete madhara ndipo hatua zitachukuliwa
 
Hii imetokea leo asubuhi huko Mwanza.....
 

Attachments

  • atc1.jpg
    atc1.jpg
    3.7 KB · Views: 499
  • atc2.jpg
    atc2.jpg
    5.7 KB · Views: 505
  • atc3.jpg
    atc3.jpg
    3.6 KB · Views: 451
  • atc4.jpg
    atc4.jpg
    6.8 KB · Views: 151
Taarifazinasema mvua ilikuwa inanyesha kwa hiyo ndege kuteleza ni jambo la kawaida tusiwalalumu ATCL hata kwa vitu vilivyo nje ya uwezo wao.
 
Duh, chiboooko! ..

Thanks God kama ipo salama kwa uhai wa wasafiri!
 
Taarifazinasema mvua ilikuwa inanyesha kwa hiyo ndege kuteleza ni jambo la kawaida tusiwalalumu ATCL hata kwa vitu vilivyo nje ya uwezo wao.

Unaweza kutupa mifano japo michache tu ya jambo hili la kawaida? Tusijekuwa tunafumbia macho uzembe kwa kusingizia kuwa ni jambo la kawaida kwa ndege kupata ajali wakati wa kutua kukiwa na mvua
 
Ni kweli ATCL imepata ajali na mimi nilikuwa nisafiri na Precission nimeelekezwa nirudi mjini kutulia mpaka hapo baadaye tutakapojulishwa.Ndege ya hiyo iko imepiga magoti yaonekana undercarriage zimetumbukia/collapse au tairi zimezama! Tumeaambiwa sisi wa Precision mambo yanaweza kuwa mazuri leo leo tuondoke. Wana JF niombeeni, maana sina imani na hizi ndege zetu bongo!!
 
Unaweza kutupa mifano japo michache tu ya jambo hili la kawaida? Tusijekuwa tunafumbia macho uzembe kwa kusingizia kuwa ni jambo la kawaida kwa ndege kupata ajali wakati wa kutua kukiwa na mvua

Kuna ile ndege ya Turky iliyo anguka ikitua pale Schippo uholanzi. Ndiyo maana ktk hili ilitakiwa labda idara ya hali ya hewa wangetoa tahadhari kwamba ndege zisiruke hadi mvua iishe kiwanja kikauke.

Ya wezekana uzembe ulikuwepo kwa maana kwamba ndege ni ya zamani lakini ninacho jaribu kusema ni kwamba kama mvua inanyesha mara nyingi ndege zinakuwa delayed ili uwanja ukauke kidogo. Na hii ni muhimu kwa viwanja vyetu ambavyo ni sub-standard.
 
Ni kweli ATCL imepata ajali na mimi nilikuwa nisafiri na Precission nimeelekezwa nirudi mjini kutulia mpaka hapo baadaye tutakapojulishwa.Ndege ya hiyo iko imepiga magoti yaonekana undercarriage zimetumbukia/collapse au tairi zimezama! Tumeaambiwa sisi wa Precision mambo yanaweza kuwa mazuri leo leo tuondoke. Wana JF niombeeni, maana sina imani na hizi ndege zetu bongo!!

Pole sana mama mdogo.
 
Ni kweli ATCL imepata ajali na mimi nilikuwa nisafiri na Precission nimeelekezwa nirudi mjini kutulia mpaka hapo baadaye tutakapojulishwa.Ndege ya hiyo iko imepiga magoti yaonekana undercarriage zimetumbukia/collapse au tairi zimezama! Tumeaambiwa sisi wa Precision mambo yanaweza kuwa mazuri leo leo tuondoke. Wana JF niombeeni, maana sina imani na hizi ndege zetu bongo!!
Damu ya YESU iwafunike woote watakaosafiri leo na siku zote. AMEN
 
Back
Top Bottom