William wa Ukweli
Member
- Jun 20, 2012
- 59
- 7
Ushauri wangu kwa ZZK baada ya kauli ya kifedhuli ya Mnyika dhidi ya rais wa JMT mh.Jakaya Mrisho Kikwete, Chadema kimpe onyo kali na kama akikaidi na kubebwa na viongozi wenzake basi Zitto aitose CDM baharini, ahamie CCM full stop!!!
CHADEMA bila Zitto ni dhaifu mara elfu na ushee !!!
CHADEMA bila Zitto ni dhaifu mara elfu na ushee !!!