kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
- Thread starter
- #21
Ahahahahaaah! Kweli sisi wa huku Kavifuti tukija huko Dar inabidi tusicheze mbali na wenyeji wetu ili tusipotee!!
utazoea tu
Ahahahahaaah! Kweli sisi wa huku Kavifuti tukija huko Dar inabidi tusicheze mbali na wenyeji wetu ili tusipotee!!
utazoea tu
Nimekumbuka pale Lugalo kulikuwa na nyumba ilikuwa na mashine ya kusaga iliandikwa kwa maandishi makubwa lakini bila kuacha nafasi kati ya neno inasema"Hapa tunasagananakukoboa" Umeipata hiyo??
mi sijakufaham....
Moshi kuna kituo kinaitwa "kazi".
Konda: "Oyaa abiria, hamna kazi?"
Abiria: Shusha..
Konda: "Dereva, Acha kazi!"
haha haaa!mmenikumbusha hotel za uswahilini!utasikia!
Muuzaji:nani kuku?
Mteja:mimiii..!
Muuzaji:nani ng'ombe?
Mteja:mimi hapa kaka!
na kuna mambo kweli, mpaka mbavu zinaumarolling on the floor laughing loud.....nimecheka sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jf kuna mambo!