kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Konda: Ndege? Ndege mpo?
Abiria: Shusha...
Konda: Waache ndege
(Hapa huwa najiuliza wameshushwa raia au ndege?)
Konda: Kipawa?
Abiria: Wote kimya... Konda anachukulia hamna wa kushuka anamwambia
dereva "Ongeza salio mwana"
Konda: Tazara?
Abiria: Kimya pia... Konda anaonekana kujawa hasira... na kutoa maneno
ya chinichini...
Konda: Kwa jazba anasema HUU NDO MWISHO WA 200!
Abiria: Kimya pia
Gari linavuka TAZARA kwenda zaidi... Sasa konda anajua kupakia
ishakuwa nuksi maana abiria hawashuki.
Konda: Abiria hamna ngozi?
Abiria: Kimya...
Mfano mwingine ni kama upo Morogoro Rd...
Konda: Migomigo?...
Abiria: Shusha... (sasa asoelewa maana ya migomigo ameliwa)
Konda: Usalama? Abiria hamna usalama?
Abiria: kimya
Konda: Chai?
Abiria: Shusha...
Kwa kawaida lugha wanayotumia makondakta ni ya wenyeji wa Dar. Wale
wageni hupitilizwa sana kwenye vituo na kubaki kulalama bila msaada.
Ukimwambia abiria 'Abiria hamna chai' usitarajie alotoka Arusha na ni
mara yake ya kwanza kuwa Dar aelewe anatakiwa kushuka kafika Magomeni
Mwembechai.
Abiria: Shusha...
Konda: Waache ndege
(Hapa huwa najiuliza wameshushwa raia au ndege?)
Konda: Kipawa?
Abiria: Wote kimya... Konda anachukulia hamna wa kushuka anamwambia
dereva "Ongeza salio mwana"
Konda: Tazara?
Abiria: Kimya pia... Konda anaonekana kujawa hasira... na kutoa maneno
ya chinichini...
Konda: Kwa jazba anasema HUU NDO MWISHO WA 200!
Abiria: Kimya pia
Gari linavuka TAZARA kwenda zaidi... Sasa konda anajua kupakia
ishakuwa nuksi maana abiria hawashuki.
Konda: Abiria hamna ngozi?
Abiria: Kimya...
Mfano mwingine ni kama upo Morogoro Rd...
Konda: Migomigo?...
Abiria: Shusha... (sasa asoelewa maana ya migomigo ameliwa)
Konda: Usalama? Abiria hamna usalama?
Abiria: kimya
Konda: Chai?
Abiria: Shusha...
Kwa kawaida lugha wanayotumia makondakta ni ya wenyeji wa Dar. Wale
wageni hupitilizwa sana kwenye vituo na kubaki kulalama bila msaada.
Ukimwambia abiria 'Abiria hamna chai' usitarajie alotoka Arusha na ni
mara yake ya kwanza kuwa Dar aelewe anatakiwa kushuka kafika Magomeni
Mwembechai.