Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,137
Kweli usitukane wakunga wakati uzazi ungalipo!!!!habari hii inanikumbusha siku precission air wameleta ndege majuzi mpya kabisa ,kukawa na kashfa nyingi mbalimbali ,,,habari kamili zilizotufikia nege ile mpya ilioonyehswa kwa mbwembwe kwenye TV na kushabikiwa kwa heshima imeungua engine baada ya kuletwa bila kufanyiwa checks na hivyo wakailazimisha kuruka ,,,matokeo yake wameamua kuunguza baadhi ya vitu na hivyo kupaki nje!!!pale uwanja wa kimataifa wa nyerere!!!!
precission tunaomba mtusaidie sisi abiria kujua ukweli wa hili,,,ndege nzuri viile milaza kama kopo jamani????????
precission tunaomba mtusaidie sisi abiria kujua ukweli wa hili,,,ndege nzuri viile milaza kama kopo jamani????????